Habari wanaJamiiForums,
Mimi naomba kuuliza ni short coz gani nzuri za computer ambazo naweza kusoma kwa muda mfupi na zinazoweza leta faida kwangu
Ushauri Tafadhari.
Habari zenu Wadau wa JamiiForums,
Kuna rafiki yangu anaitaji kujua kuhusu chuo kipi kizuri anachoweza kusoma Course ya Information Technology (IT)
Yeye amemaliza Form Four (IV) mwaka jana
Ushauri wenu tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.