siku hizi wanawake hasa wake za watu wanamisongo sana ndo maana tendo kwao zero na bongo mabinti wako tayari kwa waume za watu, zawadi huwa HIV tu. sikuamini sana kama ametuliza ndoa ila itakuwa shida baadae ila kwa hilo huna ujanja jaribu kumfuatilia wife anapenda hobi gani kama akiwa hana...
Majirani walisaliti JUMUIYA kwa kufuata waliodhani watawafaa, na kweli walikomba kila kitu lazima wakubali. Siyo kama wao hawapendi WABONGO ila walidaganywa, angalia makampuni yao mengi na walivyoweka nchi yao hawana lao kabisa sisi tulichekwa sana ila leo kwanini wanataka hata kutumeza ili tuwe...
wewe unabahati sana maake wengine hawapati kabisa, we ongeza kula vyakula vya kuongeza nguvu na kula kula matunda kama matikiti maji umpe raha wala usimpuuze maake inatokea hata wewe unataka sana afu mshauri asile vyakula vyeme stimu sana kama amechemsha ingini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.