Recent content by josephmagombe

  1. josephmagombe

    Waziri Mkuu atinga bandarini, ampa saa 4 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo kujieleza

    Kwa ushauri wako ulitaka wafanyaje??? Walale ndani??
  2. josephmagombe

    Sura za hawa watu hazifanani na kutungua helikopta

    Tatizo watanzania hamna jema aisee. Hivi kweli utamtizama muhalifu sura na kumtambua... acheni polisi wafanye kazi yao. Mnawakatisha polisi tamaa halaf baadae mnakuja kulalama polisi hawatendi haki.. yani wachawi wa maendeleo ya tz ni cc watanzania wenyewe yani serikali isifanye jambo mtalalama...
  3. josephmagombe

    Swali la Ugomvi: Ni Kina Nani Wasiotaka Magufuli Afanikiwe na Kwanini?

    Ndio maana kila wakati nasema kuwa kama jambo hujui nibora ukanyamaza tu au kuuliza swali... zile fedha zilitengwa kipindi cha utawala wa JK ktk budget ya 2015/2016 ilaa wakawa hawakupewa kwahiyo sahv Mh Magufuli ndo kaagiza zitolewe... sasa unakuja kulalama hapa eti anamwaga mahela..... jamani...
  4. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Bilaa media mngekuja kupotoshwa na kuja kutusumbua huku
  5. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Umeona sasa ndo hasara ya kutokutumia media sahv unadanganywa na ww unaamini duuuu... elimu, elimu, elimu... hapa ndo nimeanza kuelewa kwann mzee wa watu alikomaa na elimu kwnza
  6. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Tatizo Media hazikutumikaa... yani watanzania wengi ni mananga ukifanya kitu kimya kimya yanakuja kupotosha.. ukitumia media yanalalama aise yana kera... haya cheki hilo linalosema hiyo mashine imechukuliwa udom... si linanga hilo
  7. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Nyie sindo wale mnaolilia uhuru wa kupata habari kwa wakati tena live... japo sheria haisemi hvyooo... mi naunga mkono kwa serikali kufanya kazi kwakushirikisha vyombo vya habariii.. hii inasaidia kufahamu utekelezaji wa ahadi wa rais kwani kupitia media tunaweza kujua je katekeleza ama laa ili...
  8. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Nakwambia tatizo lako unakurupuka banaaa... hembu fatilia kwnza hotuba ya jaji mkuu ndo uje huku acha kutujazia nafas
  9. josephmagombe

    Ahadi ya Bilioni 12.3 ya Rais Magufuli kwa Mahakama, kwa ajili ya uendeshaji wa Mahakama yatimia leo

    Tatizo ww ndo huelewi zinaenda kufanya nn.... nahili ni tatizo la kukurupuka.. mi naona kama kitu hukijuu kwa undani kaa kimyaa.. we kwnza cku ile ulimckiliza Jaji mkuu alisema nn, aliomba hizo hela kufanyie nn au unaropokaa tu watu kama nyie mnatakiwa kuzabwa viboko vyakutosha
  10. josephmagombe

    Dr Slaa na Mkewe katika muonekano mpya.

    Duuuuuu amenenepaaa... kweli siasa mchezo mchafu.... cjui yeye ndo kaiyuza cdm au cdm imemuuza yy.... ilaa kotekote biashara imemnufaishaa
  11. josephmagombe

    Askofu Fredrick Shoo ameongea kama kiongozi au mfuasi wa Lowassa?

    Sawa ni kiongozi wa dini na anapaswa kunena yaliyo mema na kweli bila kuegemea upande wowote... lakini yeye ameshaonesha tofauti zake... napia amezungumza kishabiki bila kujua ukwel halisi hayo ni makosa kama kiongozi wa dini.... ni vyema dini ikabaki kama dini na serikali ikabaki kama serikali
  12. josephmagombe

    Rais Magufuli atua Arusha, Afikia Ikulu ndogo ya Arusha

    Kwani ulilazimishwa kuangalia hayo maigizo kwnye tv siuzime tv kama ni maigizo??? Acha mbwembwe ww
  13. josephmagombe

    Rais Magufuli atua Arusha, Afikia Ikulu ndogo ya Arusha

    Kwani ulilazimishwa kuangalia hayo maigizo??? Si uzime tv??
  14. josephmagombe

    Kulihitajika uchunguzi wa kina dhidi ya Dr. Faisal kwanza!

    Kwani Faisal alifukuzwa kwnye media au na ww unataka ku comment tu
Back
Top Bottom