Mwenye kuelewa aelewe, asiyeelewa abaki hivyo hivyo, ninachokizungumza ni haki za uandishi dunia nzima. Huwezi kuchukua kazi ya mtu bila kutoa credit. Hizi kazi zina hakimiliki.
Kama una makala yoyote ambayo una ushahidi kuwa nimeitafsiri, iweke hapa. Niaatcha kuandika kuanzia siku hiyo! Si kutafsiri tu, hata kuchukua idea ya mtu. Naandika kutoka kichwani mwangu. Mimi siyo mvivu na ninajua ninachokifanya. Naandika kwa mwaka wa kumi sasa!
MKATABA WA SIRI – 5
MTUNZI: JOSEPH SHALUWA
ILIPOISHIA...
"Matusi tunayotukanwa sasa yanatosha. Njoro nzima inatutusi kwa sababu yako. Umetuvua nguo mwanetu."
"Ni juu ya nini baba?"
"Wewe una tatizo gani?"
"Kuhusu nini baba?"
"Kwanini hutaki kuoa?"
SASA ENDELEA...
MKATABA WA SIRI
SEHEMU YA NNE
MTUNZI: JOSEPH SHALUWA
ILIPOISHIA...
Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda kupita kiasi. Muda wote msafi, ananukia marashi, ananyoa vizuri, anavaa nguo nzuri...kwanini ajipende hivyo kama mtoto wa kike? Mchunguze mwanao shoga...
MTUNZI: JOSEPH SHALUWA
ILIPOISHIA...
Msisimko alioupata ulikuwa mkubwa sana. Pamoja na kufikisha umri wa miaka 22, akiwa tayari ameshamaliza elimu yake ya kidato cha nne, hakufikiria kabisa suala la kuoa binadamu. Alitamani kuoa jini.
SASA ENDELEA...
Aliamini hao ndiyo wangeweza...
KUNA watu humu ndani wanachukua kazi za watu wengine na kujifanya wameandika wao. Nimeona wengi wanachukua makala zangu za magazetini kwenye mitandao na kuziweka humu wakijifanya wameandika wao! Siyo sawa. Buni chako. Nawapongeza wanaochukua kazi zangu na kuandika jina langu kuwa ndiye...
Ndugu, kwanini unachukua mada yangu na kuiweka hapa tena bila jina langu, ukiifanya yako? Jambo hilo si la kistaarabu hata kidogo. Sijazuia kazi zangu kutumika, lakini lazima kuwe na jina langu, msomaji ajue imeandikwa na mimi.
Makala zangu zote huwa naandika kwa kutafiti mwenyewe, hata siku...
kitabu cha hiyo hadithi kimeshakamilika, ukitaka kusoma chote mwanzo mpaka mwisho, weka oda yako kupitia namba 0713 165690 nikupe maelekezo ya namna ya kukipata.
SEHEMU YA NNE
MTUNZI: JOSEPH SHALUWA
ILIPOISHIA...
Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda kupita kiasi. Muda wote msafi, ananukia marashi, ananyoa vizuri, anavaa nguo nzuri...kwanini ajipende hivyo kama mtoto wa kike? Mchunguze mwanao shoga yangu!...
WENGI WANA MASHAKA KUWA HUENDA MIMI SIYO JOSEPH SHALUWA, KAMA WENGI WANAVYOULIZA.
NDIYO MIMI MARAFIKI ZANGU!
KAMA KUNA AMBAYE HAAMINI AJE HAPA:
FACEBOOK: Joseph Shaluwa
TWITTER: Joseph Shaluwa
BLOG: Shaluwanew.blogspot.com
EMAIL: Joeshaluwa@gmail.com
Habari?
Vipi mfano unapokea meseji kwenye simu yako, unaangalia unakutana na maneno kama: "Hi darling, nafurahi kuwa u mzima, please naomba jioni tukutane, uniambie mapema utapenda hoteli gani, ya Magomeni au Ilala.
Nina hamu sana na wewe sweetie...
Hiyo ni meseji kutoka kwa mpenzi wako (wa...
MTUNZI: JOSEPH SHALUWA
ILIPOISHIA...
Msisimko alioupata ulikuwa mkubwa sana. Pamoja na kufikisha umri wa miaka 22, akiwa tayari ameshamaliza elimu yake ya kidato cha nne, hakufikiria kabisa suala la kuoa binadamu. Alitamani kuoa jini.
SASA ENDELEA...
Aliamini hao ndiyo wangeweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.