Na Joseph Nyoni
Kama kuna kitu muhimu katika taifa ni idadi ya watu. Ongezeko la idadi ya watu hupelekea taifa kuwa na maendeleo makubwa. Ndiyo maana mataifa mengi ambayo idadi ya watu imeongezeka kwa kasi na maendeleo yamekimbia harakaharaka.
Mfano mzuri ni taifa la China ambalo lilipata...
Na Joseph Nyoni
Tunapozungumzia utalii nchini tunazungumzia Taifa linalopata watalii kati ya milioni 1.5 hadi milioni 2 kwa mwaka.
Na tunapozungumzia Afrika katika mataifa yanayoongoza katika sekta ya utalii tunazungumzia mataifa matatu ambayo yanafanya vizuri kwa miaka kadhaa mfululizo yaani...
TABIA ZA MTU MZALENDO
Na Joseph Nyoni
Uzalendo nini? Uzalendo ni ibada ya kulipenda, kulitumikia na kulitetea taifa katika hali yoyote pamoja na kutanguliza maslahi ya taifa.
Zifuatazo ni tabia za mtu mzalendo
1. Analipenda taifa lake na hawi tayari kuliona taifa lake linaingia kwenye shida...
TANZANIA IJAYO
Joseph Nyoni
Nikiwa kama mtanzania, napenda kuchangia mambo kadhaa ambayo yatakuja kuinua taifa hili na kufanya liwe na maendeleo makubwa. Endapo mambo haya yatafanyika basi miaka 25 ijayo hatutatembea tena bali tutakuwa katika marathoni ya maendeleo;
Kwanza serikali ishawishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.