Mkuu naomba unirushie huo uzi uliousave kwenye pm yangu kama inawezekana maana inaelekea una data za kutosha, kama haiwezekani basi nakupm email yangu unirushie. Pamoja sana!
Marie hakuwadharau wananchi, ila kwa jinsi alivyokuwa hajui maisha ya wananchi wa kawaida yakoje, alishindwa kabisa kuelewa kama mtu ukikosa mkate kwa nini uandamane, si afadhali ule keki. This is a typical situation we have with our leaders, they have completely lost touch with the society...
mungu huyohuyo unayemjua, mbona ule uchochoro mliokuwa mnautumia kupata taarifa za kamati kuu ya chadema "shida salum" tulimwomba aturekebishie, na akarekebisha kweli, halafu mwanae tukamfukuza. Mlifikiri tulikuwa hatujui. Kuwafukuza wote wawili isingewezekana ingeonekana tunawaonea, kwa...
Laiti Mungu angewachukua wanaCCM kana kumi hivi kutoka kwenye kamati kuu kabla ya mwaka huu kwisha, angekuwa ametufanyia jambo la maana sana watanzania. Ingawa Mungu alipoteza nafasi muhimu sana wakati wa bunge la katiba, angelichukua bunge lote tu. Hapa CCm walipotufikisha tunahitaji msaada wa...
Wakuu shikamoni,
Paa la nyumba yangu limeliwa vibaya na wadudu ambao siwafahamu, siyo mchwa, wako kama mende weusi wembamba kidogo kwa mende, wanapokuwa kwenye mbao wanakuwa viwavi (caterpilar) wanakula mbao ndani kwa ndani huku wakiacha matundu kama yanavyoonekana kwenye picha.
Wakishakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.