Recent content by joseph fuime

  1. J

    Waziri Mwakyembe amshukia Diamond. Asema umarufu utamgharimu, hawezi bishana na Shonza na atapotea kubishana na Serikali

    Nyinyi wizara ni walezi wa wasanii mchukue jukumu lenu la kuwalea hao vijana. Pia muwe tayari kukosolewa na kujisahihisha nyinyi sio miungu
  2. J

    Unapompinga Rais Magufuli, unapinga yafuatayo

    Kwani kwenye kata hizo ulizotaja kulikuwa na uchaguzi au unyang"anyi?
  3. J

    Mwenyekiti CHADEMA mkoa wa Ruvuma unaiua CHADEMA Songea

    Mimi ni cdm na nitabakia kuwa cdm kinyume na matakwa ya baadhi ya maadui zetu wanavyotaka iwe.Napenda kuwahakikishia wanachadema wenzangu tutafanyakazi pamoja na kwa bidii zaidi
  4. J

    Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

    Mwenyezi Mungu amjalie afya njema na ulinzi wake mkuu ili aje kuwakomboa wana watanzania wanaoteseka na serikali ya kifisadi ya ccm.Tunamtakia mkutano mwema
  5. J

    Nina Imani kubwa na CHADEMA - Prof. Baregu

    Kweli kabisa kiongozi umenena tegemeo pekee kwa watanzania ni chadema tu.Changamoto tunazopitia ni ishara tosha ya kufanikiwa kwetu,kwani tunavuka vikwazo vingi
  6. J

    Jeshi lichukue nchi 2015 wakati tunaandaa viongozi waadilifu

    Rais ajaye ni dr slaa tu mwenye uwezo wa kurejesha nidhamu ya taifa
  7. J

    Tundu Lissu atusihi tumsikilize Zitto Kabwe leo saa 7 mchana DW

    Watanzania tuwe na uchungu na kodi zetu tusiwaachie ccm wajikague wenyewe kwenye sakata hili la fedha za hapo benki kuu
Back
Top Bottom