Mimi ni cdm na nitabakia kuwa cdm kinyume na matakwa ya baadhi ya maadui zetu wanavyotaka iwe.Napenda kuwahakikishia wanachadema wenzangu tutafanyakazi pamoja na kwa bidii zaidi
Mwenyezi Mungu amjalie afya njema na ulinzi wake mkuu ili aje kuwakomboa wana watanzania wanaoteseka na serikali ya kifisadi ya ccm.Tunamtakia mkutano mwema
Kweli kabisa kiongozi umenena tegemeo pekee kwa watanzania ni chadema tu.Changamoto tunazopitia ni ishara tosha ya kufanikiwa kwetu,kwani tunavuka vikwazo vingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.