Recent content by Joseph ally

  1. Joseph ally

    Biashara ya mpunga

    Dooh mvua jana na leo dar inapga baadh ya maeneo nackia na moro nako inaendelea kunyesha
  2. Joseph ally

    Biashara ya mpunga

    Duu hii hali inataka kujiludja km ile ya mwaka 2020 kama sijakosea
  3. Joseph ally

    Biashara ya mpunga

    N kwel kabsa
  4. Joseph ally

    Biashara ya mpunga

    Habar wapendwa naomba nilete feedback hapa km nilivyo haid Kwa bahat mbaya mda ulipofika cku kufanikiwa kuchukua kwani nilie kuwa namtegemea alipata changamoto kubwa hali iliyopelekea kushindwa kufanya kile tulichopanga so nikaamua kufanya plan b Plan B ———> BODA BODA niliamua kununua boda...
  5. Joseph ally

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    N kwel kabsa Umenena vyema . Je unaweza kufanya bznes na uka maintain for 10yrs...?? Km no Au hujui Bas wekeza hyo pesa achana na bznes
  6. Joseph ally

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Ndugu wapendwa wawekezaji kama mm jana mwaka Jana kuna mfuko mwingne unaiitwa FAIDA FUND upo chin ya watumish housings Malengo na madhumuni ya mfuko huu n kama ule wa LIQUID FUND (UTT) Kwa wanao ufaham plz embu tuelezen je na wenyewe n mzuri kwa kuwekeza ukizangatia huu bado mchanga tofaut na...
  7. Joseph ally

    Biashara yenye faida kubwa kwa mtaji wa Tsh milioni 15-20

    Ndugu m naomba nikmutafute unikuze zaid kwan. Nafkilia kufanya biashara hii
  8. Joseph ally

    Hisa za NICOL

    Vip ndugu ushaanza ziuza
  9. Joseph ally

    Kuna usalama wowote katika kununua na kuuza hisa za DSE online?

    Ndugu chamamoto gan umekutan nayo wakat mpaka sas kwa uzoef wako kweny swala hili la hisaa
  10. Joseph ally

    Kuna usalama wowote katika kununua na kuuza hisa za DSE online?

    Ndugu chamamoto gan umekutan nayo wakat mpaka sas kwa uzoef wako kweny swala hili la hisaa
  11. Joseph ally

    Hivi ndivyo unavyoweza kusoma Taarifa za Fedha na Kuanza Uwekezaji katika Soko la Hisa (Masoko ya Mitaji)

    This nmeipenda mnooo kwan niko kweny hatu a ya awali ya kusoma zaid maana ya hisa kabla sijaanza kuwekeza nashukulu san kwa hii taarfa ndugu nakuomba utoapo taarfka nyingne pls Fanya namna nijue nko tayal kujifunza hata km unaandaa semina or kun wasap group niko tayal
Back
Top Bottom