Recent content by jose1989

  1. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Subiri 2 years baada ya miaka miwili kama ujakutana kimwili na mwenza wako ndoa inavyunjwa kiserikali, Kwani una mda gani mpaka sasa.
  2. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Wachungaji nao hawaangalii mtu jinsi anavyojisikia yani emotional mtu yupoje
  3. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Angali wanajua kuwa umuhitaji kabisa , daaa hilo baraza la suruhisho linapatikana wapi?? Mahakamani au ustawi wa jamii??
  4. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    CH hasira na wewe acha lugha za mitaani
  5. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Kaka punguza hasira , wewe ulijuaje mke wa kaka yako alikuwa bikira???? Eti ulimfunua utupu wake.
  6. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Ila sheria inasema wanandoa wasipokutana kimwili kwa muda wa miaka 2 ndoa inavunjwa. Wewe ishu yako inamuda gani kaka??
  7. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Haya mambo hapo familia mzima washajua kuwa binti yao alifanya hivi. Watu wa kanisani washajua kuwa huyu dada alishawahi fanya hivi. Daaa sijajua ana hali gani huko huyo mkeo bro. Pole sana.
  8. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Kumbe hamjaachana na kupeana taraka?
  9. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Daaaaa, naona watu wanachukuria mepesi haya mambo
  10. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Kaka viongozi wa dini walikuwa wansemaje ulivyowaambia daaa. So sand.
  11. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Daaa inauma acha nikijiangalia mimi mpaka namaliaza chuo sijawahi sexy na binti yoyote yule wa mtu. Nilikuja kusexy first time na malaya tuu tena wakununua tuu basi nikaacha. Naamini hata anaweza akawa na vitu vingi vya onvyo huko nyuma. Naumia sana nigejua ningemuacha before.
  12. J

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Mkuu ngoja nikupe experience yangu iliyonikita mimi. Nilikutana nae kwenye kazi zetu za afya hizi. Nilikaa nae kama mwaka na nusu kwenda miaka 2, siku moja katika kuongea maisha ya mda uliopita ambayo kila mmoja anajuta kufanya. Yeye aliniambia kipindi anamaliza mtihani na kuondola shule...
  13. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu umefunguaje account hapo kwenye sportybet mimi inagoma mkuu
  14. J

    Kupima DNA kwa lengo la kujua uhalali wa mtoto kunatoa majibu sahihi?

    Niliwahi sikia afisa mmoja wa ustawi wa jamii anasema hawapendi kuona ndoa inavunjika.
Back
Top Bottom