nyumba ya aina gani hiyo mkuu, thamani ya ardhi hukua na aishuki,me naamini b aada ya mda bei katika maeneo hayo napo uza kiwanja itapanda zaidi kwani ni eneo ambalo chuo cha sauti wanafungua branch,nafikiri patakuwa na ushindani kama ilivyo nyegezi leo hii
ndugu husika na mada tajwa
Kiwanja chenye viwanja viwili ndani yake medium density kila kimoja kinauzwa.
kipo eneo la buhongwa mjini,kilomita moja kutoka buhongwa stand.
Gharama ni million 20. karibuni
Kwa mwenye nia na kiwanja ni PM kwa mawasiliano zaidi.
Sautso is an extension of saut managment, and not an independent board, hivyo usitegemee lolote kutoka uongozi wa wanafunzi wa chuo hicho, uongozi wake ni tofauti sana na uongozi wa vyuo vingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.