nyumba ya aina gani hiyo mkuu, thamani ya ardhi hukua na aishuki,me naamini b aada ya mda bei katika maeneo hayo napo uza kiwanja itapanda zaidi kwani ni eneo ambalo chuo cha sauti wanafungua branch,nafikiri patakuwa na ushindani kama ilivyo nyegezi leo hiibei kubwa muno huku nyakato unapata house ya 20 mil