TTCL (T Pesa) inasumbua wateja wanashindwa kutoa fedha zaidi ya muda wa siku nne mfululizo na hakuna majibu yanayoridhisha kutoka kwa customer care
Majibu yao ni "Kuna hitilafu ya kiufundi tunalifanyia kazi" Ni vyema Serikali itoe muafaka wa suala hili huu mtandao ni kero kwa wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.