Recent content by Jordan Reuben

  1. Jordan Reuben

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Nimekupata mkuu Masada wapicha kamaipo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jordan Reuben

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Physics from 5 equation from chand Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Mkuu pia naona labda ungesema kwa elimu ya zaman miaka yanyuma ilikuwa ngumu kidogo tofauti na ya kipindi cha sasa mambo mengi yamelaisishwa na vitendea kazi vingi ata mwalimu mwengi sana shule nyingi pia Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Kwa upande wa vyuoni chemistry yao inaonekana simple sababu mwalimu ndo anae define kilakitu na kufanya mambo yawe lahisi sio mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Mkuu na wa miaka ya nyuma na marahisi waliopiata Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Its mean kufahulu kwa vyuoni nimkupwa sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Elimu changamoto kwa vijana wetu kumeza kuelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Sawa mkuu ngoja tuone wana jamii wanasemanje ikawa nikwer inategemeana sana au kutokana na ngazi ipi sababu inaonesha chuo mwalimu ndio kila kitu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Selection wezi wa 5 ila sijajuwa kwa mwaka huu zinaweza kuwai kama matokeo yalivo wahi pia Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Nikwer kabisa na nimekuekewa boss ata mzazi anamchango wake kufikisha gurudumu hili watu wamesahau kina mzazi pia but ata kufel kwa mwanafunzi atamzazi anaweza kuchangia pia.? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Jordan Reuben

    Je, kufaulu au kufanya vizuri kwa Mwanafunzi kwenye masomo yake ni juhudi zake ama ni juhudi za Mwalimu?

    Na kwahizi shule za private nazo zipoje sababu watu wanasema watoto hutafuniwa kilaki2 Nazi yao nikumeza tu kutokwa kwa walimu wake. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom