Recent content by joram jr

  1. J

    Anticoagulant

    Kwa nn hamna vidonge vya heparin
  2. J

    Download JamiiForums Wallpapers for PC

    kwa nn hamna vidonge vya heparin
  3. J

    Kweli tunmeamua kupeleka Malkia wa mchwa Ikulu?

    Kiukweli me sio mshabiki wa siasa ila ni mzalendo na napenda kuona maendeleo katika nchi yangu. Na mm naamini watanzania hasa vijana tunachelewesha maendeleo ya nchi yetu kwa kuendelea kuacha chama kimoja kiendelee kutawala nchi kwa mda mrefu na hicho chama kujiona nchi ni ya kwake hivo hata...
  4. J

    Joseph Mbilinyi mbunge wa mbeya mjini alivyoshindwa kutekeleza ahadi zake

    Hii nchi itabadilishwa kwa kuunda selikali kupitia vyama vya upinzan na sio kuishia kwenye ubunge tu na kutegemea mabadiliko makubwa.wote tunashuhudia wabunge wetu wa upinzan wanavopambana japo ni wachache so tuwaamini tuwape wapinzan nchi. Tukiwa na utamadun wa kubadilisha vyama watafanya vzr...
  5. J

    Joseph Mbilinyi mbunge wa mbeya mjini alivyoshindwa kutekeleza ahadi zake

    Acha mambo ya ajabu ww. Mngepitisha chadema kuanzia mbunge mpaka rais ndo ingewezekana coz iyo inakua ni ilani ya chama sio sugu
  6. J

    Msaada: Anakawia sana kupata hedhi na ameanza kula mkaa

    Hana matatizo ya kijamii kama labda kuachana na mpenz wake, kufiwa navinginevyo kwa sababu msongo wa mawazo pia unaweza kusababisha siku kushift
  7. J

    Typhoid

    Ok thanks
  8. J

    Typhoid

    Eti jaman first choice for typhoid n ip kati ya cpro na chloramphenical
Back
Top Bottom