Recent content by jonathan beda

  1. J

    Elimu ya Tanzania

    nikweli kuna kila haja kuangalia mfumo wetu wa elimu toka ngaz ya chini mpaka elimu ya juu
  2. J

    Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    mwenyezi mungu atusaidie sana
  3. J

    Elimu ya Tanzania

    kwa utafiti unavyo onesha elimu ya Tanzania haiwaandai wanafunzi kukabiliana na mazingira yanayo wazunguka bali kukaa na kusubiri kuajiliwa, je kwa mwenendo kama huu tutafika kweli???
  4. J

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    ubabaishaji wa viongoz wetu wa ki tz unatucost kila mtu anaangalia maslai yake na familia yake so ifike mahali waangalie uma unataka nn na wao wanafanya nn
  5. J

    Waalimu wapya na maisha ya kijijini

    tanzania ubabaishaji mwing
Back
Top Bottom