Recent content by jonahex

  1. J

    Hotuba ya Rais Kikwete: Leo tarehe 25 Aprili, 2014

    Naombeni link ya kuweza kusilkiliza hyo hotuba kwa sababu niliikosa jana.
  2. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    Anakimbilia ikulu kwa Rushwa ni Anayechanganya siasa na Kanisa Hivi,Mayor na Kanisa wapi na wapi ?Pigeni kelele sana lakini,kwa habari .za mbali mayor asipogombea uongozi wa chama siyo kuogopa mtu ,ila uongozi ni kupokezana kijiti ,umeongoza miaka 10 unatoa nafasi kwa mwingine.Siyo kugeuza...
  3. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    by munguatosha:-)mwenye kumwaga Damu anajulikana hata wewe unamjua Hivyo,hizo ni siasa tu,Kelele .za chura hazimzuii .ng'ombe kunywa maji .
  4. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    We nafikiri umeshiba viroba vya kutosha ufahamu wako hautoshi,Tena unalilia mayor wanini kanisa?Nakupa pole fisadi mkubwa wa Majungu Hadi kanisani?
  5. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    Utatoka we Ganda utamuacha,kanisa kuna chama we Pepo ?
  6. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    Mavule :-)Ficha yako Aibu ndiyo uone kwa mwenzako
  7. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    -------- .ni wewe usiyeweza kuwa hata balozi wa mtaa jitundike damu umemwaga wewe na wakurude wenzako,mwache baba wa watu,Kama limekukela kanywe viroba ulale,Mbona unachanganya kanisa na siasa,hujui utendalo!kama Huna story nyamaza!Subiri wewe ugombee upate kura tukuone!
  8. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    Jiulize kama siyo ushabiki Mtu atapataje kura 0?Angepata kurta 1 au kuwamwagia2 au kuwamwagia10 hapo ungesema kakosa kura,Hakutaka kuchaguliwa kwa Vile Kawaida ukifanya uongozi kanisa katoliki awamu 3,Unastaafu Labda upende kuendelea mi kama mpiga kura nilielewa hata siku hiyo,Hakuja,jinsi...
  9. J

    Aibu: Meya Gaudence Lyimo apata kura 0

    Mtumzima:-)Wapi siasa na kanisa?Hivi nashangaa Tangu lini huyu Mayor kalipua watu au kuwamwagia Tindikari Hadi Anuke Damu?Angalia mchangiaji ushabiki wako wa kuhongwa Viroba Usikughalimu mbele za Mungu,ongea kitu cha kweli.
  10. J

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo. Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani. Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  11. J

    Uchaguzi wa Madiwani Arusha mjini kata ya Kaloleni: Makada wa CCM watimuliwa

    Hivi CDM Mtakuwa waongo Hadi lini?Uchaguzi haujaanza wala kampeni Bado,Eti Wametimuliwa na Meya,Hivi Amekuwa CDM kulilia viti Viwili?mnaedai Jembe Lema akikataa kaloleni isiendelezwe .ni sawa yeye .si kamaliza ikulu yake nakahamia acha wakae nyumba chakavu,Kwa mpango huo siku yao ya kuuzwa kama...
  12. J

    CCM kama mnajali makada wenu huu ndio muda

    Hii .ni fundisho kwa Watanzania wote kuwa hakuna haki popote,kesi ya Rufaa ilikuwa Batili kumsikiliza lema akikataa majaji na kwenda kubadilisha nyaraka .za rufaa yake mwezi mzima na Rufaa ya wakata Rufaa siku moja tu tena masaa?Hapa hata kipofu anaona na kiziwi anasikia,Sasa kama alivyosema...
  13. J

    Ni aibu ujumbe unaongozwa na Rais Kikwete kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje Uholanzi

    Karl,Akutane nae asikutane nae .si wajibu wako,Subiri akirudi ukamuulize,GOD BLESS THIS CRAZY PEOPLE
  14. J

    Ni aibu ujumbe unaongozwa na Rais Kikwete kupokewa na Waziri wa Mambo ya Nje Uholanzi

    Mhogo:-)Mbona mnajijibu?Maana ya first Lady Nini?Muulizeni Dr Slaa Mchumba wake alipokuwa anafuatana nae alikuwa ni katibu wa CDM?Toa boliti kwenye jicho lako kabla hujaona kibanzi kwenye jicho la Mwenzako!Ilipopitishwa mswaada bungeni kuwa wabunge wanaruhusiwa kwenda na wake zao,Hao nao ni...
Back
Top Bottom