Anakimbilia ikulu kwa Rushwa ni Anayechanganya siasa na Kanisa Hivi,Mayor na Kanisa wapi na wapi ?Pigeni kelele sana lakini,kwa habari .za mbali mayor asipogombea uongozi wa chama siyo kuogopa mtu ,ila uongozi ni kupokezana kijiti ,umeongoza miaka 10 unatoa nafasi kwa mwingine.Siyo kugeuza...
-------- .ni wewe usiyeweza kuwa hata balozi wa mtaa jitundike damu umemwaga wewe na wakurude wenzako,mwache baba wa watu,Kama limekukela kanywe viroba ulale,Mbona unachanganya kanisa na siasa,hujui utendalo!kama Huna story nyamaza!Subiri wewe ugombee upate kura tukuone!
Jiulize kama siyo ushabiki Mtu atapataje kura 0?Angepata kurta 1 au kuwamwagia2 au kuwamwagia10 hapo ungesema kakosa kura,Hakutaka kuchaguliwa kwa Vile Kawaida ukifanya uongozi kanisa katoliki awamu 3,Unastaafu Labda upende kuendelea mi kama mpiga kura nilielewa hata siku hiyo,Hakuja,jinsi...
Mtumzima:-)Wapi siasa na kanisa?Hivi nashangaa Tangu lini huyu Mayor kalipua watu au kuwamwagia Tindikari Hadi Anuke Damu?Angalia mchangiaji ushabiki wako wa kuhongwa Viroba Usikughalimu mbele za Mungu,ongea kitu cha kweli.
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.
Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hivi CDM Mtakuwa waongo Hadi lini?Uchaguzi haujaanza wala kampeni Bado,Eti Wametimuliwa na Meya,Hivi Amekuwa CDM kulilia viti Viwili?mnaedai Jembe Lema akikataa kaloleni isiendelezwe .ni sawa yeye .si kamaliza ikulu yake nakahamia acha wakae nyumba chakavu,Kwa mpango huo siku yao ya kuuzwa kama...
Hii .ni fundisho kwa Watanzania wote kuwa hakuna haki popote,kesi ya Rufaa ilikuwa Batili kumsikiliza lema akikataa majaji na kwenda kubadilisha nyaraka .za rufaa yake mwezi mzima na Rufaa ya wakata Rufaa siku moja tu tena masaa?Hapa hata kipofu anaona na kiziwi anasikia,Sasa kama alivyosema...
Mhogo:-)Mbona mnajijibu?Maana ya first Lady Nini?Muulizeni Dr Slaa Mchumba wake alipokuwa anafuatana nae alikuwa ni katibu wa CDM?Toa boliti kwenye jicho lako kabla hujaona kibanzi kwenye jicho la Mwenzako!Ilipopitishwa mswaada bungeni kuwa wabunge wanaruhusiwa kwenda na wake zao,Hao nao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.