Recent content by JONA ONE

  1. JONA ONE

    Viongozi na mashabiki wa yanga nashauri acheni kulazimisha hiki timu chenu na siasa na wanasiasa

    Jifunze kwanza kuandika lugha ya Kiswahili fasaha kisha rejea kuandika tena porojo zako.
  2. JONA ONE

    Ushindi wa Trump wafanya nchi za Ulaya zilizo katika Jumuiya ya NATO kubaki njiapanda juu ya uimara wa jumuiya hiyo yenye nguvu

    With Trump's US election win, is Europe now on its own? EU and NATO members were not shocked by Donald Trump's victory in the US presidential election but are now bracing for wild transatlantic ties. Will this accelerate efforts for more EU sovereignty? NATO's Mark Rutte (right) is considered...
  3. JONA ONE

    Endapo Yanga itaifunga Azam kesho ndani ya dakika 90 nitaamini kuwa Yanga wanashinda kwa uwezo wao na yanayosemwa ni majungu tu

    Na wewe kwa akili yako unaamini kuwa Yanga huwa wanashinda kwa ndumba? Hayo ni mawazo mgando tena ni mgando mno mno. Yanga ina uwezo mkubwa kiuchezaji na ina wachezaji wazuri wanaoweza kuamua matokeo muda wowote ule ndani ya dakika 90.
  4. JONA ONE

    Mambo 15 niliyoyaona Simba vs Yanga Ngao ya Hisani jana

    Umechambua pumba tu hapa, uchambuzi wa kishabiki na wakindezi. Hamna uwezo mnatoa visingizio et kuna watu wanavujisha siri zenu kwa Manara. Timu yenu si chochote mbele ya Yanga miaka ya hivi karibuni.
  5. JONA ONE

    FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

    Kwa Yanga hii, tarehe 8 Kono la nyani lingine halikwepeki kwa Simba.
  6. JONA ONE

    Timu za Tanzania jezi zao ni uchafu

    Unamwitaje mwenzako nyani?
  7. JONA ONE

    Nani mkweli, Mo Dewji au wanachama?

    Wanalunyasi wanakabana koo kisawa sawa.
  8. JONA ONE

    Inonga anaondoka Simba mwishoni wa msimu huu 2024

    Pole sana mtani, huu mwaka mbali duuuh, huku timu mbovu, kule wachezaji wanataka kusema, pale umepigwa FA yaani mtani huna raha kabisa mwaka huu.
  9. JONA ONE

    Ahmedy Ally: Yanga Sc wamepiga simu Azam media kuwa wafute interview ya Fiston kalala Mayele

    Ahmed Ally hana anachojua juu ya wajibu wake wa kuisemea taasisi iliyomuajili badala yake anafanya mambo tofauti ili tu kuwasahaulisha washabiki wa Simba juu ya mwenendo mbovu wa timu yao.
  10. JONA ONE

    Azam TV jitokezeeni hadharani Muwaombe radhi viongozi wa Yanga Sc, mashabiki na wadau wa mpira kwa interview ya Fiston Mayele mliyoiyoifuta

    Simba mnasahau kujadili yenu mnajikita kujadili mambo ya Yanga. Mmeshasahau kipigo cha Mashujaa Fc na sasa mmepata jambo la kujifariji. Mmeishiwa, mitandaoni hamuuziki hata kwa mkopo kilichobaki ni kushabikia mambo haya. Daima Yanga tupo imara na tarehe 20 tutawatwanga ili kuwazima kabisa...
Back
Top Bottom