..tuzo ambayo Lissu amependekezwa apewe iliwahi pia kutolewa kwa Mzee Mandela.
..hiyo ni heshima kubwa sana kwa Lissu ukizingatia kwamba ni mtu asiyekuwa na mbeleko ya serikali.
..100%.
..mawakili wa serikali ktk kesi ya uhaini wakina William Sekule, Johnson Mwanyika, Kulwa Massaba, George Mlawa, walikuwa makini sana ktk kesi ile.
..William Sekule baadae aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu, na baadae Jaji wa Mahakama ya kimataifa ya mauaji ya Rwanda.
..Nadhani Majaji wamejifunga pale waliposema ushahidi wa hao majamaa uko relevant kwa utetezi wa mshtakiwa.
..Sasa Majaji wakilazimika kutoa hukumu bila hao majamaa kufika mahakamani itakuwaje?
..Ukiacha hilo, Majaji walizuia Rais, Makamu mstaafu, Waziri Mkuu mstaafu, na Mkurugenzi wa Tiss...
..hao majamaa ni kweli wapo nje ya nchi, au wamegoma kutokea mahakamani?
..mahakama itaamua nini ikiwa majamaa hayataki kuja kutoa ushahidi?
..Nimeona Katuga anajaribu kusema hao majamaa kuja mahakamani ni jukumu la mshitakiwa, sio mahakama.
Sasa inafikirisha kwanini Katuga aliibua hoja...
..hayakuwa maswali magumu.
..tatizo hakujiandaa nayo.
..hata hivyo ni maswali ambayo hayaathiri ushahidi alioutoa.
..hakuna shahidi ambaye atakuwa 100% perfect kwani mawakili wa kila upande wamesomea kazi yao.
..Ni jambo la kibinadamu.
..kuna watu wametekwa, wameteswa, na wengine wameuwawa, ktk mazingira hayo watu kuwa na jazba inaeleweka.
..jambo la msingi ni kuwekana sawa.
..uchaguzi ni mchakato.
..kama ktk kila hatua kulikuwa na ukiukaji wa haki halafu mwisho wa uchaguzi ukabahatika kutangazwa huo uchaguzi utakuwaje wa haki?
..au kwa mfano madiwani wako wameenguliwa, mgombea wako wa uraisi amepigwa mabomu, na kuzuiwa kufanya kampeni, huo uchaguzi utakuwa wa haki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.