Recent content by JokaKuu

  1. J

    Hivi rais Samia huwa anaambiwa ukweli na wasaidizi wake? Kuna Mtanzania yoyote ana imani na Mahakama hii inayomuweka Lissu Mahabusu bila kosa?

    ..uwezo wake ni mdogo. ..Mtanzania kujua kwamba mahakama zetu ni za hovyo hahitaji kuambiwa na mtu yeyote.
  2. J

    PostGE2025 Rais Samia: Huko Mahabusu kuna watu hawana hatia, wanafungwa kwa kesi ya kubambikiwa tu

    ..wanaobambikia watu kesi ni watendaji ktk vyombo vya serikali ikiwemo polisi, na ofisi ya muendesha mashtaka. Kitendo cha Mama Abdul kuwalaumu na kuwalalamikia Majaji, ni upotoshaji, na kujizima data.
  3. J

    PostGE2025 Rais Samia: Majaji simamieni Haki kwa kuzingatia Katiba bila upendeleo

    ..TL pamoja na mamia ya viongozi na wanachama wako ndani. Pia serikali imeitumia mahakama kutoa amri haramu ya kuzuia Cdm kufanya shughuli zake.
  4. J

    Swali kwa Kikwete: Tutamalizaje changamoto za 2025 wakati serikali haitofautishi kati ya 'coercive peace' dhidi ya 'consensual peace' kabisa?

    ..walikuwa waalimu wa siasa jeshini. ..Na kwasababu hawakuwa na utaalamu wowote wa kijeshi, ndio maana mwaka 1993 walichagua kwenda kwenye chama, ambako walikuwa na utaalamu nako. ..aliyekuwa mwanajeshi wa kweli ni Brig.Gen.Hassan Ngwilizi ambaye inajulikana aliongoza vikosi vya Jwtz...
  5. J

    Swali kwa Kikwete: Tutamalizaje changamoto za 2025 wakati serikali haitofautishi kati ya 'coercive peace' dhidi ya 'consensual peace' kabisa?

    ..Lt.Col.Jakaya Kikwete hakuwa professional soldier kama wakina Gen.Mwamunyange, Lt.Gen.Shimbo, Brig.Gen.Ngwilizi, na wengine. ..Kikwete, Kinana, Ditopile, Makamba, Mkuchika, walikuwa makamisaa wa siasa jeshini. Na ndio maana, mwaka 1993, siasa zilipofutwa majeshini, wao wakaamua kuja uraiani.
  6. J

    Multiparty democracy ni sumu kwa mataifa masikini hasa ya Kiafrika

    ..Tanzania hatuwezi kusema demokrasia ya vyama vingi imefeli kwasababu Ccm imekuwa ikihujumu mifumo yote ambayo ingeruhusu demokrasia kufanya kazi.
  7. J

    Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    ..tuwe na subira kuona nini kitatokea. ..kwa kilichotokea Oct 29, kabla na baada ya hapo, bila shaka, jumuiya ya kimataifa inatakiwa kuingilia kati.
  8. J

    PostGE2025 Clemence Mwandambo: Nipo CCM lakini nina roho ya 'Upinzani'

    ..ukatili unaoendelea sasa hivi ni kwasababu ya uongozi na maamuzi ya Ssh. ..unajua labda wengi wenu ni vijana, kwa hiyo hamjui tofauti za tawala za Ssh,Jpm,Jk,Bwm,Ahm, na mahusiano yao na wanaharakati na wapinzani. ..unyama na udhalimu umekuwepo kwa miaka mingi, lakini ktk tawala za Jpm, na...
  9. J

    PostGE2025 Clemence Mwandambo: Nipo CCM lakini nina roho ya 'Upinzani'

    ..kama aliingia Ccm kwa kumfuata Jpm basi ana matatizo makubwa. ..Jpm alikuwa dhalimu na muuwaji. ..yanayoendelea ktk utawala wa Ssh yaliasisiwa na Jpm.
  10. J

    Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    ..hujasikia Ssh naye katafuta ma-lobbyist wa Washington DC wamsaidie kusafisha njia? Na hao majamaa wanalipwa fedha kubwa, wana influence, na wana wanasheria wabobevu.
  11. J

    Serikali ya Sudan yarejea katika mji mkuu baada ya miaka 3 ya vita

    ..maana yake ni kwamba UTURUKI wamewashinda UAE ktk vita vya kugombea mji mkuu wa SUDAN. ..ikumbukwe kwamba Uturuki wanasaidia upande wa serikali, na UAE wanasaidia upande wa waasi.
  12. J

    Kilimo cha minazi ni utajiri uliopewa kisogo. Lima minazi kisasa, lima kibiashara

    ..inabidi ujipange toka kupanda minazi mpaka kuvuna. ..wataalamu wanashauri kuchanganya minazi na mazao ya muda mfupi ili kupunguza gharama za kuhudumia minazi kabla haijaanza kutoa matunda.
  13. J

    Heche: UDSM wamezuia kongamano la DUPSA mjadala

    ..Odemba awaite kwenye kipindi chake wakafanye huo mdahalo. Watawafikia watu wengi zaidi. Lakini pia ingefaa wawashirikishe Ccm, au vile vyama vibaraka vya Ccm.
Back
Top Bottom