Recent content by JokaKuu

  1. J

    JamiiForums Tanzania Tukisahau historia, inajirudia Wakoloni na walotupeleka utumwani hata leo hawatutakii mema

    ..pamoja na kulimisha wananchi kwa ujira mdogo, kununua mazao kwa bei chee, Muingereza alikuwa anakusanya KODI. ..hautakuwa sahihi sana ukiamini kwamba Muingereza alikuwa akifaidika na kilimo peke yake.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..Na asipowatosa watazidi kumharibia, na mwisho wake wote tutazama. ..huenda kabla ya Oct 29 alikuwa anawaza hivyo unavyosema wewe kuwa akiwatosa hatakuwa salama. ..sasa angalia walivyokuja kumharibia.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..huwezi kufanya yote kwa wakati mmoja. ..tunakwenda hatua kwa hatua.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    ..mambo ya utekaji yapo tangu 2016 akiwa makamu, na hayajakoma mpaka leo miaka 10 baadae. ..haiwezekani ashughulike na kadhia zote hapa nchini, isipokuwa utekaji, na mauaji, ya wakosoaji, na wanaharakati. ..lazima mambo haya yana ridhaa yake.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    ..pia yako matamshi ya kuwachochea Polisi kufanya ukatili. ..yako maandalizi ya waziwazi ya Polisi kufanya waliyofanya Oct 29.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    ..kivipi? ..si awazuie? ..kwanini hawakamati?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    ..Ccm ni chama cha kigaidi. ..Msajili anapaswa kukifuta.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    ..Mauaji yote hayo yamefanywa na watawala wa Ccm.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    ..Naunga mkono wote walioumizwa walipwe fidia. ..Na mimi nimewahi kumsikia Tundu Lissu akiwatetea mpaka kina Abdulah Kassim Hanga, Mdungi Ussi, Azizi Twala, na wengine waliopotezwa miaka ya 60. ..Kwa hiyo nakuunga mkono kwamba hata walioumizwa Mwembechai, Unguja, Pemba, nao wanastahili kufutwa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    ..Father Kitima ndiye aliyechochea Polisi kufanya mauaji, na kupoteza miili? ..Father Kitima ndiye aliyewachochea Polisi wakamuuwe Sharif Majini, na wananchi wengine wasiohusika na maandamano?
  11. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..serikali ionyeshe njia. ..ukamataji usitishwe. ..mahabusu wote waachiliwe. ..waliopotezwa wapatikane. ..walioathirika walipwe fidia. ..wapinzani waende kwenye meza kujadili Tume Huru, na Katiba.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere alia na unafiki wa Prof. Anna Tibaijuka

    ..vipi ikiwa Prof.Tibaijuka ameenda kumpigania Dr.Basigye aachiwe huru? ..Mwalimu Nyerere kuna wakati alikutana na Dikteta Gen.Sani Abacha akimsihi awaachie wafungwa wa kisiasa wa Nigeria. ..Uzuri ni kwamba Prof.Tibaijuka anafikika , hivyo tusubiri majibu yake kuhusu kilichomsukuma kuonana na...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..You cant eat your cake and have it. ..lazima baadhi ya vigogo ktk Ccm na vyombo vya dola wabebe msalaba. ..wako waliomshauri Rais vibaya aachane na 4R huku wakimuaminisha kwamba Polisi, na Usalama, watamvusha salama ktk uchaguzi. ..matokeo ya ushauri huo yamepelekea umwagaji damu mkubwa wa...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..Chadema wameongea na Chakwera bila kujali kwamba Mwenyekiti wao yuko kizuizini. We should take advantage of that na kuanzisha mchakato wa maridhiano. ..Pia kila upande unapaswa kusitisha hostilities dhidi ya mwingine. ..Hii kamata kamata inatakiwa kusitishwa. Kuna hatari ya kusababisha...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    ..hakuna haja ya Cdm au Tec kubadili uongozi ili kutuliza mgogoro wa kisiasa uliopo nchini. ..jambo ambalo linaweza kutusaidia ni serikali kuomba msaada wa MSULUHISHI WA KIMATAIFA. ..nitakukumbusha ujio wa Rais Mstaafu Lazarus Chakwera, na jinsi alivyoweza kupata ushirikiano wa wadau wote wa...
Back
Top Bottom