..pamoja na kulimisha wananchi kwa ujira mdogo, kununua mazao kwa bei chee, Muingereza alikuwa anakusanya KODI.
..hautakuwa sahihi sana ukiamini kwamba Muingereza alikuwa akifaidika na kilimo peke yake.
..Na asipowatosa watazidi kumharibia, na mwisho wake wote tutazama.
..huenda kabla ya Oct 29 alikuwa anawaza hivyo unavyosema wewe kuwa akiwatosa hatakuwa salama.
..sasa angalia walivyokuja kumharibia.
..mambo ya utekaji yapo tangu 2016 akiwa makamu, na hayajakoma mpaka leo miaka 10 baadae.
..haiwezekani ashughulike na kadhia zote hapa nchini, isipokuwa utekaji, na mauaji, ya wakosoaji, na wanaharakati.
..lazima mambo haya yana ridhaa yake.
..Naunga mkono wote walioumizwa walipwe fidia.
..Na mimi nimewahi kumsikia Tundu Lissu akiwatetea mpaka kina Abdulah Kassim Hanga, Mdungi Ussi, Azizi Twala, na wengine waliopotezwa miaka ya 60.
..Kwa hiyo nakuunga mkono kwamba hata walioumizwa Mwembechai, Unguja, Pemba, nao wanastahili kufutwa...
..Father Kitima ndiye aliyechochea Polisi kufanya mauaji, na kupoteza miili?
..Father Kitima ndiye aliyewachochea Polisi wakamuuwe Sharif Majini, na wananchi wengine wasiohusika na maandamano?
..vipi ikiwa Prof.Tibaijuka ameenda kumpigania Dr.Basigye aachiwe huru?
..Mwalimu Nyerere kuna wakati alikutana na Dikteta Gen.Sani Abacha akimsihi awaachie wafungwa wa kisiasa wa Nigeria.
..Uzuri ni kwamba Prof.Tibaijuka anafikika , hivyo tusubiri majibu yake kuhusu kilichomsukuma kuonana na...
..You cant eat your cake and have it.
..lazima baadhi ya vigogo ktk Ccm na vyombo vya dola wabebe msalaba.
..wako waliomshauri Rais vibaya aachane na 4R huku wakimuaminisha kwamba Polisi, na Usalama, watamvusha salama ktk uchaguzi.
..matokeo ya ushauri huo yamepelekea umwagaji damu mkubwa wa...
..Chadema wameongea na Chakwera bila kujali kwamba Mwenyekiti wao yuko kizuizini. We should take advantage of that na kuanzisha mchakato wa maridhiano.
..Pia kila upande unapaswa kusitisha hostilities dhidi ya mwingine.
..Hii kamata kamata inatakiwa kusitishwa. Kuna hatari ya kusababisha...
..hakuna haja ya Cdm au Tec kubadili uongozi ili kutuliza mgogoro wa kisiasa uliopo nchini.
..jambo ambalo linaweza kutusaidia ni serikali kuomba msaada wa MSULUHISHI WA KIMATAIFA.
..nitakukumbusha ujio wa Rais Mstaafu Lazarus Chakwera, na jinsi alivyoweza kupata ushirikiano wa wadau wote wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.