Recent content by JokaKuu

  1. J

    JamiiForums Tanzania SAMIA NA MAPINDUZI YA BANDARI ZA TANZANIA

    ..huyu ni muuaji tu. ..ndio mtawala wa kwanza ktk ardhi yetu kuuwa mpaka watoto.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Huko Mahakamani Kwa Lisu wengi walienda wakiwa na Heshima, wakati wakurudi walirudi wakiwa dhalili

    ..Lissu hana hayo mambo ndio maana Magufuli akaona bora amuuwe.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Lissu apendekezwa kuwania tuzo ya Sakharov, yenye heshima ya juu zaidi inayotolewa na Umoja wa Ulaya (EU)

    ..tuzo ambayo Lissu amependekezwa apewe iliwahi pia kutolewa kwa Mzee Mandela. ..hiyo ni heshima kubwa sana kwa Lissu ukizingatia kwamba ni mtu asiyekuwa na mbeleko ya serikali.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..100%. ..mawakili wa serikali ktk kesi ya uhaini wakina William Sekule, Johnson Mwanyika, Kulwa Massaba, George Mlawa, walikuwa makini sana ktk kesi ile. ..William Sekule baadae aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu, na baadae Jaji wa Mahakama ya kimataifa ya mauaji ya Rwanda.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..Na wanavyoendelea kumshikilia ndivyo watu wanavyozidi kumpenda na kumuunga mkono.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..Nadhani Majaji wamejifunga pale waliposema ushahidi wa hao majamaa uko relevant kwa utetezi wa mshtakiwa. ..Sasa Majaji wakilazimika kutoa hukumu bila hao majamaa kufika mahakamani itakuwaje? ..Ukiacha hilo, Majaji walizuia Rais, Makamu mstaafu, Waziri Mkuu mstaafu, na Mkurugenzi wa Tiss...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..hao majamaa ni kweli wapo nje ya nchi, au wamegoma kutokea mahakamani? ..mahakama itaamua nini ikiwa majamaa hayataki kuja kutoa ushahidi? ..Nimeona Katuga anajaribu kusema hao majamaa kuja mahakamani ni jukumu la mshitakiwa, sio mahakama. Sasa inafikirisha kwanini Katuga aliibua hoja...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..utakuwa sahihi. ..nadhani jamaa yuko hatua nyingi mbele.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..suala ni wako wapi? ..kusema tu wako nje ya nchi haitoshi. ..nadhani mahakama inapaswa kuelezwa wahusika watarejea lini ili wito uweze kutekelezwa.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mashahidi watatu wa Lissu waliobaki (IGP, CDF na DCI) wote wapo nje ya nchi

    ..kwanza wanaweza kumuita Kamishna Mkuu wa Uhamiaji athibitishe. ..pili wanaweza kuwaita wanaokaimu nafasi zao wakati wao wako nje.
  11. J

    JamiiForums Tanzania MADA: Uchambuzi: Sakata la Godbless Lema na Onyo kwa CHADEMA Kuhusu Mtego wa "Siasa za Kutenganishwa," Wanaharakati Mamluki, na Mateka wa Kifedha

    ..mwenyekiti ni mkubwa kuliko chama. ..mbona hawawafukuzi polisi wao waliouwa kinyama?
  12. J

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani - 15 Septemba, 2026: John Heche aendelea kutoa ushahidi

    ..hayakuwa maswali magumu. ..tatizo hakujiandaa nayo. ..hata hivyo ni maswali ambayo hayaathiri ushahidi alioutoa. ..hakuna shahidi ambaye atakuwa 100% perfect kwani mawakili wa kila upande wamesomea kazi yao.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    ..kuna project ya kulima NGANO imeanza kufanyiwa kazi nyanda za juu kusini. ..project hiyo ikifanikiwa mambo yatakuwa mswano kupita kiasi maeneo hayo.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

    ..Ni jambo la kibinadamu. ..kuna watu wametekwa, wameteswa, na wengine wameuwawa, ktk mazingira hayo watu kuwa na jazba inaeleweka. ..jambo la msingi ni kuwekana sawa.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani - 15 Septemba, 2026: John Heche aendelea kutoa ushahidi

    ..uchaguzi ni mchakato. ..kama ktk kila hatua kulikuwa na ukiukaji wa haki halafu mwisho wa uchaguzi ukabahatika kutangazwa huo uchaguzi utakuwaje wa haki? ..au kwa mfano madiwani wako wameenguliwa, mgombea wako wa uraisi amepigwa mabomu, na kuzuiwa kufanya kampeni, huo uchaguzi utakuwa wa haki?
Back
Top Bottom