Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni
Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.
Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya...
Kwanza niwapongeze Sugu na Mchungaji Msigwa kwa kukubali kukabiliana kimdahalo
Sisi wapenda Demokrasia ya kweli tunaomba Mdahalo huo uwe live Runingani kama Kenya
Mlale Unono 😄😄🔥
Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii ina kufanikisha na kufanikiwa kuuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla
Source: Mwananchi
Rais wa JMT mh Dr Samia Suluhu Hassan amemtumukia Nishani ya Mwalimu Nyerere Shujaa Magufuli
Nishani hiyo kakabidhiwa mama Janeth Magufuli mjane wa Shujaa
Source: Ayo TV
Watu wa Legacy tunashangilia 😂😂🔥🔥
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.