Recent content by johnthebaptist

  1. J

    Rostam Aziz: Mimi ndio Muasisi wa Bima ya Afya ( NHIF) nchini kama kuna anayebisha aende akasome Kitabu cha hayati Benjamin Mkapa !

    Hisa za migodi amenunua kwenye Stock exchange markets za Australia na London Swali lingine
  2. J

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Kasema yeye hajaanza kuchimba makaa ya mawe Unazungumziaje hilo?
  3. J

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Rostam: Nimenunua Hisa za kampuni za migodi kutoka Masoko ya Hisa ya Australia na London sijauziwa na Serikali Nadhani hapo ndio pamemvuruga Retired
  4. J

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Wewe siyo mwanasiasa ndio sababu una uwoga wa kuchambua hoja mbalimbali kinzani 🐼
  5. J

    Rostam: 1995 Lowassa na Kikwete walikuwa na Nia ya kugombea Urais lakini EL akakatwa, 2005 tukamuunga mkono Kikwete lakini 2015 mambo yalibadilika!

    Kwa maana hiyo ule mtandao wa Mapacha Watatu ulizikwa rasmi 2015 Ikumbukwe Mapacha Watatu ndio walikuwa Vinara wa Mtandao japo kulikuwa na Wajumbe kama Membe, Sitta, Mataka, Temu, Sophia nk nk Maelezo ya Aziz yamenyooka sana 🐼
  6. J

    Trump anaidhalilisha Marekani

    Ametishwa na Mapacha Watatu XI, Putin na Kim
  7. J

    Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    Migodi amenunua kwenye Masoko ya Hisa huko duniani yaani Australia na London
  8. J

    Rostam Aziz: Mimi ndio Muasisi wa Bima ya Afya ( NHIF) nchini kama kuna anayebisha aende akasome Kitabu cha hayati Benjamin Mkapa !

    Bima ya Afya ni Moja ya misingi mikuu ya taifa endelevu Kwa hili Aziz ni lazima apongezwe Hapo Kenya SHA inawatoa jasho Duale hapati usingizi
Back
Top Bottom