Recent content by johnthebaptist

  1. J

    Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

    Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao. Mlale Unono 😀😀 --- Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya...
  2. J

    Kama nchi mbili ziliungana zikazaa Tanzania kwa Zanzibar iwepo ila Tanganyika ife?

    Watanganyika wa SASA Ndio akina nani?
  3. J

    Tulia Ackson na Mwenyekiti wa CCM Mbeya Waendesha Kampeni Chafu za Ubunge Mbeya Mjini

    Fomu Moja kana Mwenyekiti wa Chadema 🐼😂
  4. J

    Chadema Nyasa tunaomba Mdahalo kati ya Joseph Mbilinyi (Sugu) na Mchungaji Msigwa uwe Mubashara ITV

    Kwanza niwapongeze Sugu na Mchungaji Msigwa kwa kukubali kukabiliana kimdahalo Sisi wapenda Demokrasia ya kweli tunaomba Mdahalo huo uwe live Runingani kama Kenya Mlale Unono 😄😄🔥
  5. J

    Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii!

    Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii ina kufanikisha na kufanikiwa kuuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla Source: Mwananchi
  6. J

    Kukamatwa kwa Malisa na Bonny kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    Unalijua jina la CAG Mstaafu Prof Assad kwenye Cheti chake Cha kuzaliwa?!
  7. J

    Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais

    Haina maroroso wala shida Mama na Shujaa Maguful ni Kitu kimoja 😂😂🔥
  8. J

    Kukamatwa kwa Malisa na Bonny kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    Polisi huwa wanatishwa? We CHAWA umekula maharagwe ya wapi?
  9. J

    Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais

    Rais wa JMT mh Dr Samia Suluhu Hassan amemtumukia Nishani ya Mwalimu Nyerere Shujaa Magufuli Nishani hiyo kakabidhiwa mama Janeth Magufuli mjane wa Shujaa Source: Ayo TV Watu wa Legacy tunashangilia 😂😂🔥🔥
Back
Top Bottom