Recent content by Johnpaulthesecond

  1. J

    MJADALA LIVE TBC & ITV: Kwa kipindi hiki huenda huu ukawa ndio mjadala bora zaidi kutokana na aina ya washiriki

    Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo kimeandaa mdahalo wa wachambuzi utakaofanyika Jumamosi, Agosti 30, 2025 katika ukumbi wa American Corner, Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 7:00...
  2. J

    Kwanini wajasiriamali wamchague Samia: Mikopo yao kabla hajawa Rais ilikuwa trilioni 7 tu leo mikopo hii imefikia trilioni 14 sawa na ongezeko la 200%

    Wananchi wenzangu wapendwa, Leo nasimama mbele yenu nikiwa na heshima kubwa ya kuzungumzia kazi kubwa iliyofanywa na Rais wetu mpendwa, Mama Samia Suluhu Hassan, katika kuinua kundi muhimu sana katika taifa letu – wajasiriamali wadogo na wa kati. Wakati Mama Samia anaingia madarakani, thamani...
  3. J

    Kwanini wajasiriamali wamchague Samia: Mikopo yao kabla hajawa Rais ilikuwa trilioni 7 tu leo mikopo hii imefikia trilioni 14 sawa na ongezeko la 200%

    Wakati Rais Samia Suluhu anaingia madarakani Wajasiliamali waliopewa mikopo binafsi (Personal loans ),thamani ya mikopo hiyo ilifikia jumla ya TZS 7Trilioni miaka minne baadae mikopo hii imefikia jumla ya TZS 14Trilioni sawa na ongezeko la TZS7Trilioni au 200% pia ni ongezeko la mara mbili...
  4. J

    Mawakala wa benki wamefika 145,430 kutoka 48,923, Kama hakuna pesa wangemhudumia nani?

    Sio wizi ukiwepo, wizi uko na wezi wapo hatukatai ila sera nzuri zinaweza kuleta pesa kwenye jamii ndi maana unaona mawakala wanaongezeka kwa kasi
Back
Top Bottom