Recent content by johnny567

  1. J

    JamiiForums Tanzania UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    cheki utakuwa umepata pesa sana toka 2008
  2. J

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    sasa mbona nimeambiwa naingia pre entry kwasababu ya D ya chemia
  3. J

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    kwahiyo naingia pre entry na kufanya mtihani wa kuangalia kama nina vigezo vya kujiunga? Na mitihani yao ni ya aina gani?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    kwa nini naenda indirect entry?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    jamani naombeni msaada wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina div 3 point 25 grade za masomo ni: geo-c bio-c eng-b+ math-b kisw-d hist-c phy-c chem-d civ-c Je, naweza kujiunga na chuo cha DIT (nataka nichukue electronics and telecommunication engineering)
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kazi za mtu mwenye bs of science degree in IT

    na pay yake
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kazi za mtu mwenye bs of science degree in IT

    wenzangu wa jamii forum nadhani mpo salama naombeni mnisaidie kunipa muongozo wa kazi ninazo weza kupata na bs science degree ya IT na pay yake inaweza kurange vipi
  8. J

    JamiiForums Tanzania mhitimu wa kidato cha nne kuchukua mafunzo ya urubani

    Salaam zangu kwa wana wa jamii forum swali langu ni eti mhitimu wa kidato cha nne anaweza kwenda kusomea urubani yani kuanzia basic mpaka afike kiwango cha kuweza kufanya practical
  9. J

    JamiiForums Tanzania Topics za Pure math form 5

    wadau naombeni mniorodhoshe topics za pure maths
  10. J

    JamiiForums Tanzania Expensive high schools Tanzania

    Hizo mbili za juu zinafukuzana kwa ada. Kwa mwaka sio chini ya $ 35,000 hadi $ 45,000. Na hizo za mbili za chini zinakwenda kuanzia $ 8,000 hadi 15,000. Haya kazi ni kwako Shule zenye NECTA au zenye igcse na necta pamoja
  11. J

    JamiiForums Tanzania Expensive high schools Tanzania

    wana wa jamii forum naombeni mnipe list ya expensive boaring schools tanzania za NECTA au inaweza kua na international. Lazima iwe na a level
  12. J

    JamiiForums Tanzania ufaulu wa kwenda form 5

    kwahiyo nikiwa nataka combi ya PCB nikiwa na d ya chemia haina shida cio. lakini nasikia italeta matatizo kwenye necta kwa sababu ya credit ya chemia sina.
Back
Top Bottom