Sababu ya E ya chemistry..wanataka phy ,chemistry na math angalau D (ili kusoma kozi za engineering).. sasa mimi nina physics C ,math C lakini chemistry ndo E ... Hilo ndo tatizo Kiongoz,na waliokataa ni nacte sio nit,nit walikuwa wamenichagua mechanical engineering lakini nacte ndo wakagoma...
Sababu ya E ya chemistry..wanataka phy ,chemistry na math angalau D (ili kusoma kozi za engineering).. sasa mimi nina physics C ,math C lakini chemistry ndo E ... Hilo ndo tatizo Kiongoz,na waliokataa ni nacte sio nit,nit walikuwa wamenichagua mechanical engineering lakini nacte ndo wakagoma...
Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.