Recent content by john vikindu

  1. J

    KISUTU: Mahakama yamuachia huru Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili

    hii ni kitambulisho kinachofafanua dunia yetu leo sisi ni furaha zaidi kuliko hapo awali, na hata licha ya mchango mkubwa kwa wilaya yake na uchumi,wagonjwa na mwanafunzi, wa baadhi ya kampuni yake anaweza kusimamia vita vya propaganda dhidi ya mfanyabiashara mwenye busara kama yusuf manji
  2. J

    KISUTU: Mahakama yamuachia huru Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili

    yanga imefika hapa kwa sababu ya manji aliwekeza sana pesa na kununua wachezaji wapya na wazuri..Hongera sana kwa timu bora naamini atazidi kutusaidia.
  3. J

    KISUTU: Mahakama yamuachia huru Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili

    Afadhali amesaidia familia za wengi, kuachiwa kwake ni neema kwa wengi
  4. J

    KISUTU: Mahakama yamuachia huru Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili

    Bila shaka ameshinda, wasingemuachia kama angekuwa na hatia
  5. J

    KISUTU: Mahakama yamuachia huru Yusuf Manji katika kesi ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili

    Kwa Moyo mmoja napenda kuwashukuru sana kila mmoja ambae amesimama na mimi, familia yangu, familia yangu kubwa ambayo ni wafanyakazi wangu wa kampuni na nchi zote, washirika na wateja katika kipindi hiki kigumu. Ninaimani, natoa pongezi, ninaheshimu na kutii sharia za nchi na mamlaka ya...
Back
Top Bottom