Usidhani kwamba hawasikii kinachoendelea, subiri ikifika kupitisha hoja utawasikia wote wanaitika NDIYOOOO!! Hapo ndo nnapowakubali waheshimiwa hawaangushani hata kidogo!
Ongezeko la mishahara haliwezi kuwa la watumishi 60,000 tu. Hapo atakuwa aliongelea kupanda madaraja kitu ambacho kimsingi kila siku watumishi waliopo hasa maeneo yaliyo na madaraja wanapanda. Labda kama angeongelea kupandishwa kwa vyeo vya watumishi. Lakini pia mimi nilisikia neno mwezi ujao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.