Recent content by John Raphael shayo

  1. J

    Nini suluhisho la tatizo la masoko la mazao ya kilomo Tanzania?

    Unadhani kutokana na kuwepo kwa changamoto ya masoko kwa bidhaa pamoja na mazao kwa wakulima Tanzania nini linaweza kuwa suluhisho ukiachana kuilaaumu serikali je unaona vijana wana nafasi gani hapa
  2. J

    Fursa za biashara kwa vijana 2024-20250

    Je, unadhani ni fursa zipi amabzo vijana zinawza kuwapa uhakaika wa kujiajiri hadi kufikia 2050 zitakuwa bado sustainable ukijumuisha mabadiliko mbalimabli yanayoweza kujitokeza katika uchumi, siasa, teknolojia, elimu, mazingira na kadhalika
  3. J

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Ni sahihi unacho sema kihusu global finance but jua no one is knowing what happens 100% hwa broka wengi huwa wanafanya link na kutuweka retailers kwenye interbank positions ni kweli hakuna biashara ya kunua fedha kma unavyo nunua bidhaa kama tunavyo elezwa ila we deals with those equivalent...
  4. J

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    OK unamana MT4,MT5 hapo nimekupata kwani ni vyema kuchagua broka mara nyingi hizi tunatumia kama platforms ila broka naweza kuwa pembeni ya hili na broka ndiye anaye shika pesa zako na sio hiyo platform hivyo kusma kuwa forex kunamatapeli haimanishi kuwa haipo kabisa na watu wangi ukiwambia...
  5. J

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Unaweza jifunza upya forex ina exists ila ni kwamba matapeli wamekuwa wengi ndo maana naona huamini kusuhu hwa broka kuna vigezo vya kumpata broka bora na wa uhakika achana na mabroka ambao hawaja kizi vigezo the fanya forex kama kazi ya msingi I've muda the jifunze kwa walio fanikiwa tena...
  6. J

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Wewe ni kama unatukana BOT wanaotoa leseni kwa mabroka na kama ulipigwa ni ww so just freeze..... inaonekana kuwa hukujifunza kuhusu hii biashara vizuri ulingia kwa kurupuka remember hakuna mafanikio ya haraka
  7. J

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Wewe ulijifunza just intro ukaweka pesa nyingi kwa mkupuo huna knowledge ya kutosha ukapigwa ume taja mt4 ukanionysha kuwa bado hfahamu hili swala kwa undani so Acha wanao fahamu wa trade
Back
Top Bottom