Recent content by john mayunga chibe

  1. john mayunga chibe

    Cabinet reshuffle: This is a disgustingly bad joke, Mr President

    Kuna msemo aliwahi kuusema rais wa awamu ya pili mzee rukhsa wakati ule timu yetu ya Taifa ilikuwa inafungwa ovyo,mzee mwinyi akasema Tanzania imekuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu anajifunzia kunyoa,maneno hayo ndio nami nayasema maana kumekuwa na kasumba ya watawala wetu kupeana uongozi...
  2. john mayunga chibe

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Sijafulahia kitendo cha mh zitto kupeleka masuala ya chama mahakaman,kimtazamo atakuwa amejenga taswira mbaya kwa wanachama wenzake,alipaswa kuiamini kamati kuu maana alishatoa utetezi wake,kitendo cha yeye kwenda mahakaman naimani kutazidi kuongeza chuki kubwa kati yake na kamati kuu.chadema ni...
  3. john mayunga chibe

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    hao mafisadi wanajisumbua mwaka 2015 inakula kwao.peopleeez powerrr.
  4. john mayunga chibe

    Tuanze maandamano na Jangwani sitting kuishinikiza CCM na sera zake mbovu

    zimebaki siku sita tumalize mwaka ukiwa kama mzalendo kwa nchi yako umeona jinsi serikali hii ya ccm ilivyochoka,imeshindwa kubuni vyanzo vya mapato,kila kukicha inaluhusu bei ya umeme kuzidi kupanda na kuwaongezea mzigo wananchi wa kipato cha chini,imeshindwa kushusha bei ya mafuta na kufanya...
Back
Top Bottom