Recent content by John Manoni

  1. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Mawaya ya CCM+NIDA+INEC yameunganishwa na bado wanasombwa

    Wanashindana peke yao,walichoongeza ni kutoka kusomba watu kwa malori wametumia mabasi na treni,hata kama wameumganisha mawaya. Ndani kutoka Sauti ya polepole.
  2. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Kuna muda kukimbia pia ni USHAJAA. Chadema kukimbia uchaguzi ilifanya uamuzi sahihi

    MAWAYA YA CCM+INEC+NIDA YAMEUNGANISHWA NA WAHUNI. sauti ya polepole.
  3. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Balile alichekelea siku Nchimbi alipoalikwa kwenye Jukwaa la wahariri akatangaza kuwa hata kikiwa chama kimoja uchaguzi utafanyika

    Wadau, Nchimbi alisema CHADEMA wasubiri 2030, uchaguzi utafanyika hata kikiwa chama kimoja. Ni kupotezeana muda na kuharibu mapesa na kuyatakatisha.
  4. John Manoni

    JamiiForums Tanzania PICHA: Sasa nimeelewa kwanini CHADEMA walikataa Kata Kata.

    Zamani Nyanza na shirecu walisomba marobota ya pamba.
  5. John Manoni

    JamiiForums Tanzania PICHA: Sasa nimeelewa kwanini CHADEMA walikataa Kata Kata.

    Watanzania hao akina Rostam na mtandao wao.
  6. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Chadema kuelekea 2030

    Kwa mkakati unaowapa CHADEMA na wewe ungekuwa unatembelea kliniki na ungetoa angalau ahadi ya kuzaa mtoto na hivi leo ungejitahidi kubeba mimba tena mapacha Hussein na Hassan.
  7. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Kinachofanywa na maaskofu na watumishi wa Mungu sio siasa

    Taja mwingine lakini huyu Mazinge wala, labda kwa wewe kobaz.
Back
Top Bottom