Recent content by John makonda

  1. J

    Niliuliza jina la mfalme wa Palestina kabla ya 1948, hakuna alieweza ! Naongeza dau milioni 2 mtaje himaya ya wapalestina iliyokuwepo kabla ya 1948

    Kasome. Mw 2 6:8 Ibimeleki mfalme wa wapalestina(wafilist ) Ikawa alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki, mfalme wa Wafilisti, akachungulia dirishani, akamwona Isaka anacheza-cheza na Rebeka mkewe. And it came to pass, when he had been there a long time, that Abimelech king of the...
  2. J

    Naweka milioni moja mezani , Taja mfalme au kiongozi wa Kiarabu wa nchi inayoitwa Palestina kabla ya 1948

    Huyo hakuwa kiongozi ndugu uongozi ilikua wa waingereza alikua anaongoza jumuia ya waislamu na kuuteuliwa kuwa mufti Kama hapa kwetu wakati ikiitwa Tanganyika Sheikh Hassan Bin Ameir Sheikh Hassan Bin Ameir (Mtegani, Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, 1880 - Michenzani, 1979) alikuwa mwanazuoni...
  3. J

    Naweka milioni moja mezani , Taja mfalme au kiongozi wa Kiarabu wa nchi inayoitwa Palestina kabla ya 1948

    Imw 26:8 kawa alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki, mfalme wa Wafilisti, akachungulia dirishani, akamwona Isaka anacheza-cheza na Rebeka mkewe. And it came to pass, when he had been there a long time, that Abimelech king of the Philistines looked out at a window, and saw, and, behold...
  4. J

    Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu

    Imani ni Jambo binafsi halichangiwi na yeyote kua unacho kiamini Ushahidi wa maandishi Una mchango lakini si lazima uaminiwe Maandishi unayo yaamini wengine hawayaamini Kunavitabu vingi kila kimoja kikimuhusisha MUNGU Kwa uchache Vya wayahudi Vya wakristo Vya waislamu Vya wabudha Nk Kila mmoja...
  5. J

    Licha ya vikwazo vya Serikali, China kuwa Taifa lenye Wakristo wengi zaidi Duniani kufikia 2030

    Inawezekana hayo maoni yake Tanzania ya wakoloni(Tanganyika) Ilikua na dini zenye waumi wengi ni 1 wanaoabudu dini za jadi(upagani) 2 waislamu 3 wakristo Kundi la wapagani( waamini wa dini za jadi) walipo amini waligawanyika Wengi walielekea ukristo hasa wa bara Hivi si sita shangaa kusikia...
  6. J

    Marekani na Israel wameziomba Nchi za Afrika Mashariki zikubali kuwapokea Wapalestina wa Gaza

    Hawa si wametukatia msaada kalibu yote mbaya zaidi magonjwa mkubwa wamepata baada ya miezi 7 ijayo kama bila nguvu ya MUNGU tutakua na majanga Chonde chonde viongozi wetu wasikubali kutuletea mzigo tubebe wakati mzigo yetu hawataki kutusaidia Viongozi kumbukeni. Walivyo tufanyia Ni wabinafsi mno
  7. J

    Nini hatima ya Trump ndani ya white house, kwa mwenendo wake wa sasa?

    Vpi Richard Nixon kimbembe alichopata jun/i 17 /1972 na kujiuzuru baada ya kutaka kutimuliwa madarakani akiwa raisi wa marekani
  8. J

    Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

    Suala lenye mazingira ya kuamini ni suara binafsi Imani hailazimishwi unacho amini wewe mwingine hakiamini Imani hujengeka kwenye ushawishi au ushahidi wa matukio yasio ya kawaida(miujiza)
  9. J

    Putin aliahidi kuikamata Ukraine ndani ya saa 48 na Trump aliahidi kumaliza vita hiyo ndani ya saa 24. What went wrong?

    https://www.dailymail.co.uk/news/article-10454611/Putins-build-forces-Ukraine-border-biggest-Cold-War-says-USs-general.html
  10. J

    Putin aliahidi kuikamata Ukraine ndani ya saa 48 na Trump aliahidi kumaliza vita hiyo ndani ya saa 24. What went wrong?

    https://www.dailymail.co.uk/news/article-10454611/Putins-build-forces-Ukraine-border-biggest-Cold-War-says-USs-general.html
  11. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Vita hivi vya Russia na Ukraine imejaa Upenzi ushabiki na kuamini Pro Russia na Pro America Kila moja na upenzi wake anaamini wamepata mafanikio Wasiio upande wao ni losers Trump kawaunga pro Russia kumpenda sio pro America Bali hatamsaidia Ukraine hivyo atashindwa Russia ataibuka kidedea...
  12. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Lakini mwaka huo 2022 Ukrain asilimia kubwa ilitwaliwa mpaka na mji wao mkuu ulikaliwa viongozi akiwemo na zele walikua katika mpango maana yake kama wangekubali kusinge kua na haja ya mazungumzo Kwa kua Kyiv angekuwepo pro Russia Maamuzi waliyochuku hao nchi ndogo kupigana na dude naweza...
Back
Top Bottom