Ndugu zangu chonde chonde, kwa mtu yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii, hawezi kuwa mstari wa mbele kudidimiza upinzani, ili kuwe na nidhamu kwa walioko madarakani ni lazima Kuwe strong opposition side. lakini kwa akili za baadhi yetu yuko radhi upinzani ufutike, then niwaambie tu ukweli kuwa...