Sidhani kama ana uwezo wa kuingia pande hizo,sema anachokifanya ni kutafuta kick ya kumfanya aonekane ka mantain game for long time ila siku zote huwa nasema mziki wa Bongo mgumu sana unahitaji uwe very creative cause every time game linachange,artist wanakuja wapya wenye hasira.Siku hizi hata...
Siongei sana but time will say nimevikwa crawn na watu wa mitaa ndo maana siko kama hao mnaowajua WEUSI daily hatufuati sijui nani anafanya nini sijui game limekuwaje.Nimefungua account Jf special kwa hii thread ya huyu mbulula narudia tena MUDA NDO UTAKAOSEMA ila kwa Mwamba mtangoja sana,kwa...
Haters leave my life,mamako,dadako,shangaziako wanatamani kuwa na bwana kama mimi Hunijui vizuri na wala sibishani nawe maana si wa kask hatubishani kwa maneno tu ila kwa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.