Recent content by joex

  1. J

    Kwa Wimbi hili la Ushindi wa Vyama Mrengo wa Kulia Huko Ulaya Magharibi, Waislamu walioko Huko Wajiandae Kufunga Virago

    Chunguza tena taarifa unazopata. Socialists in western Europe are courting islamists' votes ili waendelee kubaki madarakani.
  2. J

    Kwa Wimbi hili la Ushindi wa Vyama Mrengo wa Kulia Huko Ulaya Magharibi, Waislamu walioko Huko Wajiandae Kufunga Virago

    Kwa bahati mbaya sana Nchi za Magharibi kupitia mfumo wao wa Democracy, umejikuta katika miongo ya karibuni Serikali zao zikiangukia mikononi mwa Wasoshalisti/Wakomunisti. Huko Spain,UK, US, Netherlands, Germany Denmark, Malta,Greece nk. Mbaya zaidi wasoshalisti hawa ili waendelee kubaki...
  3. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Utimizo wa Unabii katika Luke 4:16-21 unatokana na Unabii wa Isiah 61:1-2 The spirit of the Sovereign Lord is upon me, Because God anointed me to declare good news to the meek…, To proclaim liberty to the captives.Unabii huu Pamoja na Nabii nyingine za agano la kale zililenga kumtambulisha mtu...
  4. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Kwa kichwa hiyo ya panzi hata ungesoma usingeambulia kitu. Subiri tu matokeo
  5. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Tatizo la watanzania wenzetu ni kutoshughulisha akili zao. Wao hupenda kujibu hoja nzito kwa maongezi yao ya vijiweni. Ndiyo maana hatua ya mwisho huwa nawaambia kuwa endapo hoja imeuzidi ubongo wao basi angalau watulie kidogo ili TIME and passing of events ziwape majibu; sijui huwa wanaelewa...
  6. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Pamoja na islam ideology kuangamizwa kabla ule mwisho haujaja, vingine vitakavyoangamizwa ni ideologies za Kikomunisti na kisoshalisti. Mjiandae
  7. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Unajuaje endapo unabii umetimia, kama si kwa kuhusisha tukio la wakati huo na kile Biblia ilisema? Read Luke 4:17-21 unabii wa Isiah ulivyotimizwa kupitia Yesu. Soma vizuri nilivyoandika; nimesema kuna nabii ktk Agano la Kale tunazisoma kwenye Biblia na zilitimizwa nyakati hizo hizo za kale...
  8. J

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Niwakumbushe tu kuwa kama wewe unaiamini Biblia na Unabii wake, utakuwa umegundua kuwa inakubidi uijue historia ya matukio halisi ya wanadamu yalivyotokea hapo nyuma na kuhusisha na kile Biblia iliandika. Kuna Unabii ktk Agano la Kale zilitimizwa vipindi hivyo hivyo vya kale mfano Kuharibiwa...
  9. J

    Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Wewe jinga kweli kweli! 1. Anayewapa Waisrael nchi ya Cannane ni Mungu, mwenye dunia hii yote. Hata kama waliwakuta wenyeji hapo, bado mwenye nchi anawaambia wawapishe Israel 2. Hata ingawa Wana wa Israeli walipewa nchi ya Ahadi, bado waliishi na Makabila mengine maadamu makabila hayo...
  10. J

    Maandamano ya Amani (Kinondoni Muslim hadi ubalozi wao Msasani) kupinga uvamizi nchini Iran

    https://x.com/DoctorNazarian/status/2034449830487998837?s=20
  11. J

    Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    https://x.com/isaacrrr7/status/2034257700125585644?s=20
  12. J

    Marekani hawezi kushinda hii vita

    Waislamu wenzio wameisha anza kulia mlio wa poo; wanajiuliza kaallah kako wapi kasiwaokoe? Mtapukutishwa kweli kweli. Tuliwaambia wakati Sinwaa alipolianzisha Oct 7 2023 kuwa Iran akijichanganya tu wajue watafutiliwa mbali.
  13. J

    Marekani hawezi kushinda hii vita

    Ndivyo unaaminishwa na hiyo TV channel ya Maislamists, Al Jazeera! Al Jazeera is a mouth piece of islamists' propagandists. Wanachagua na kuwalipa prominent people kama huyo wa kwako au akina Tucker Carlson wakijua finally kuwa comments zao zita spin the narrative about the war in the islamists...
Back
Top Bottom