WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ametia saini Tangazo la Serikali (GN) kuhusiana na utozaji toza kwa hoteli za kitalii zilizopo katika Hifadhi za Taifa.
Pia amewaonya wawekezaji wanaokwepa kulipa kodi halali za serikali kuwa, hatasita kuchukua hatua kali na kwamba, ni lazima...