ndiyo na ccm ndo fisi, nasi ni mikono hatudodoki ng'o. labda mtupige kwanza na mabomu yenu ndo iwe rahisi kwenu kusepa nasi, lakini safari hii tupo ngangali. maana sisi tuna mungu aliye weka hiyo mikono. Na mkome kuinyemelea kwenye masanduku pia.....
Na wakimaliza kuzungukana watuambie maana bakora sasa tunayo. na tunajifunia kua nayo sasa ingawawa walikukuwa wameibania. ...... Akina 6 tulieni kama ni maneno tumevimbewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.