Habari kaka, nina shida katika utafutaji wangu. Nimezunguka kwa wataalamu wengi sana na wanaishia kusema nimefungwa vifungu kwa vya juu. Maana kila mtaalamu nikimuuliza kuhusu nyota yangu inasemaje, wanajibu haionekani yaani imezingiriwa na giza tototoro. Baada ya kazi bado mambo ni yaleyale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.