kosa la Prof. Tibaijuka ni nini?kama pesa sio ya umma yeye kakosa nini kupokea? Kama pesa ni ya umma Muhongo aliyeliambia bunge hakuna pesa ya umma kabaki kwa nini? Sijaona haki kutendeka. Muhongo kalindwa kwasababu ya maswi.
Hatuhitaji rais wa term moja sisi, Pinda kachoka a pumice jamani. Kama uwaziri mkuu tu umemshinda u rais itakuwaje? Au tunataka watu wasioweza kufanya maamuzi ili muendelee kuiba?
If I was a president the two ministers could have gone, 1. Mizengo Pinda for weak leadership and the first weakest PM ever in Tanzania. 2. Hawa Ghasia for responding like a kindergarten kid in the parliament session on behalf of the Government
Mjadala wa escrow umeisha: Yafuatayo ndiyo
niliyoyagundua...
(1) pasipo tundu lisu masuala ya sheria ndani ya
bunge ni magumu
(2) zito kabwe ana akili sana
(3) mwigulu mchemba kazaliwa upya
(4) mizengo pinda urais atausikia kwenye vyombo
vya habari tu
(5) wanawake wengi walioteuliwa kwa...
masuala haya yakiendelea kwa namna hii very soon watu wataidai haki barabarani. Jana kamati ilitoa ushauri mzuri sana sana ya kuwa ili kurudisha imani ya wananchi kwa serikali waziri mkuu ajiuzulu na wenzake wote waliotajwa kwenye kashifa. ni kweli yeye waziri mkuu hajatajwa lakini ni busara tu...
Kwa kweli kama anayoyasema Muhongo ni kweli ya kwamba hela ya ESCROW sio ya umma basi haya ni matusi kwa ofisi ya CAG na TAKUKURU kwa maana ya kuwa hizi ofisi zimetoa taarfia ya uongo. kwa maana hiyo zifumgwe. Na kama zimesema ukweli basi Muhogo afunguliwe mashitaka na afungwe.
Kosa kubwa lililofanyika ni kutokwenda kuchunguza accounts za Waziri mkuu, waziri wanishati na wengine wote ambao wanadhaniwa walihusika kuruhusu hela zitoke
This nation has reached the highest magnitude of corruption it is high time now to force the government machinery to think and work in a rational manner
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.