Ili uthibitishwe kazini mwajiri wako lazima aridhike na utendaji kazi wako na pia aridhike na tabia zako mahala pa kazi. Maana unaweza kuwa mchapakazi lakini mgomvi au unakiburi.
kwa ushauri zaidi soma vision ya taasisi ulikoajiriwa na pia soma job descriptions na standing order muhimu
Ulisoma kwenye mti upi wa muembe? Kiswahili kibovu, mawazo mabovu na huelewi taasisi ya urais inahitaji kuwa makini hasa ili kujenga taifa huru lenye mshikamano na sio kusikiliza umbea?
Kwani hawezi kutokea a better person than him? Watu walisema haya haya kwa Mwinyi wakataka aendelee, isingekuwa mwalimu huenda Mwinyi angekuwa rais hadi leo, akaja Mkapa tukasema hayahaya, akaja JK watu wakata akae hadi katiba mpya ipatikane, uzuri JK ni mwanasiasa alijua amani ya Tanzania...
Tofauti kati ya mwanzilishi na mwasisi ukiijua utaelewa vizuri the crux of the matter here. TAA ilikuwa na waasisi wake ila kwenye TANU it’s another thing ni sawa na baadae TANU na ASP zilivyoungana waasisi wanajulikana wengine walishiriki tu kubariki
Kawe Alumni,
We it seems humjui Prof. Asad vizuri. Hana kiburi ila anasimamia Sheria. Sasa kama mtu alikuwa nairobi sio nje ya nchi? Au nje ya nchi hadi uwe Ulaya tu? Na baada ya kukabidhi ofisi karudi Nairobi na kakutana na Alli Mfuruki na ka tweet kuwa hajawahi kukutana na a humble prof. like...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.