Recent content by jmushi1

  1. jmushi1

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais Samia kukaa mapumziko ya Eda siku 90

    1. Eda huchukua miezi minne na siku 10 Kwa mjane ambaye si mjamzito, kipindi cha eda ni miezi minne na siku 10, hii ni kwa mujibu wa Qur'an katika Surah Al-Baqarah 2:234.
  2. jmushi1

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais Samia kukaa mapumziko ya Eda siku 90

    Miezi mitatu atakuwa haongozi nchi. No wonder wadau wanasema anayeongoza ni mwingine😀
  3. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba aishiwa nguvu na kudondoka wakati anahutubia leo Septemba 7, 2026

    Wenzenu kina nani? Toa mfano. Unafahamu umri wa kustaafu wa nchi kama marekani? Unamzungumzia Warioba ukisema “watu wenye miaka 60 watoke kwenye uzalishaji, huo mfano wako una relevance gani? Au ni chuki zimekupofusha?
  4. jmushi1

    JamiiForums Tanzania scrutinize the page that disseminated the mortuary announcement

    What mortuary announcement? First Gentleman’s? Warioba collapse? Is there any foul play? Ngoja kwanza nikasome thread kuhusu Warioba akisema mtutu wa bunduki hauwezi kuleta amani.
  5. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Tembo atakuwa ni mkubwa kuliko wote. Swali gumu ni kuhusu hao wakamataji ambao hata tembo naye alikubaliana na swala kwamba wana nguvu kubwa hadi kumuogopesha tembo mwenyewe. Pamoja na kwamba EN alikuwa kwenye nafasi kubwa kumkaribia tembo, bado sidhani kama hao wakamataji ni wa hapa Malawi...
  6. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Kenan Kihongosi: Jeshi la Polisi wanafanya uchunguzi jambo la Polepole, wakikamilisha watatoa taarifa

    Ni kweli. Inaonekana wamekubalina wasitumie baadhi ya maneno mfano utekaji, na mauwaji. Hilo nimeliona kwa wana ccm. Hapo anasema eti “alichukuliwa”, utadhani ni kapu au mzigo umechukuliwa. Hapo maana halisi, kuchukuliwa bila ridhaa, ndo tafsiri ya kutekwa. Lakini wao wanachukulia kama...
  7. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Tembo na yeye akaogopa kukamatwa?😀 Hao mbuzi wanakamatwa na kupelekwa wapi?😀 Huo msitu itakuwa ccm na hao wanaokamata swala wote ni wasiojulikana au ndo mambo ya kesi za uhaini?
  8. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Tupazeni Sauti kwa Ajili ya NCHIMBI, Kwa CCM, adui wa Ndani ni Hatari kwao, alichokifanya NCHIMBI ni Sadaka, ni zaidi ya Upinzan na Wanaharakat Wengi!

    Kwahiyo Nchimbi kwako hana maana tena? Mwalimu Nyerere alisema huu ni umalaya.
  9. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu makamu wa rais mfukuzwa Nchimbi hayupo Tanzania

    Mkuu atawezaje kutoka bila vyombo vya usalama kufahamu. Kwa uelewa wangu, bado yuko chini ya ulinzi wa Tiss hadi hapo atakapokabidhi ofisi. Ikiwa kweli yupo nje ya nchi, lazima atakuwa amepata msaada wa hao wanausalama.
  10. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

    Hopefully the desire is now mutual. The truth in the beginning, is now the other way around. Ukweli Tanganyika ndo koloni la nchi ya Zanzibar.
  11. jmushi1

    JamiiForums Tanzania DPP afungua kesi Mahakamani kwa Mwenyekiti wa Bavicha Kahama kwa kusema Patros Katambi hii nchi siyo ya Baba Yako Wala Mama Yako

    Ni kweli, ndiyo maana kuna wananchi na siyo “wenye nchi” Ila tuna shida sisi. Very sad.
  12. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Huyu tayari alisha sign mkataba wa miaka mitatu.
  13. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Bank M-Connecting the dots...

    Narudia tu msimamo wangu kuhusu ccm. Ilishapoteza legitimacy ya kuongoza kitambo tu.
  14. jmushi1

    JamiiForums Tanzania BANK-M mikononi mwa Firoz Bayi, Kutakatisha Pesa za wa siasa

    https://www.jamiiforums.com/threads/bank-m-connecting-the-dots.1558066/
Back
Top Bottom