1. Eda huchukua miezi minne na siku 10
Kwa mjane ambaye si mjamzito, kipindi cha eda ni miezi minne na siku 10, hii ni kwa mujibu wa Qur'an katika Surah Al-Baqarah 2:234.
Wenzenu kina nani? Toa mfano.
Unafahamu umri wa kustaafu wa nchi kama marekani?
Unamzungumzia Warioba ukisema “watu wenye miaka 60 watoke kwenye uzalishaji, huo mfano wako una relevance gani?
Au ni chuki zimekupofusha?
What mortuary announcement? First Gentleman’s?
Warioba collapse? Is there any foul play?
Ngoja kwanza nikasome thread kuhusu Warioba akisema mtutu wa bunduki hauwezi kuleta amani.
Tembo atakuwa ni mkubwa kuliko wote.
Swali gumu ni kuhusu hao wakamataji ambao hata tembo naye alikubaliana na swala kwamba wana nguvu kubwa hadi kumuogopesha tembo mwenyewe.
Pamoja na kwamba EN alikuwa kwenye nafasi kubwa kumkaribia tembo, bado sidhani kama hao wakamataji ni wa hapa Malawi...
Ni kweli. Inaonekana wamekubalina wasitumie baadhi ya maneno mfano utekaji, na mauwaji. Hilo nimeliona kwa wana ccm.
Hapo anasema eti “alichukuliwa”, utadhani ni kapu au mzigo umechukuliwa.
Hapo maana halisi, kuchukuliwa bila ridhaa, ndo tafsiri ya kutekwa.
Lakini wao wanachukulia kama...
Tembo na yeye akaogopa kukamatwa?😀
Hao mbuzi wanakamatwa na kupelekwa wapi?😀
Huo msitu itakuwa ccm na hao wanaokamata swala wote ni wasiojulikana au ndo mambo ya kesi za uhaini?
Mkuu atawezaje kutoka bila vyombo vya usalama kufahamu.
Kwa uelewa wangu, bado yuko chini ya ulinzi wa Tiss hadi hapo atakapokabidhi ofisi.
Ikiwa kweli yupo nje ya nchi, lazima atakuwa amepata msaada wa hao wanausalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.