Recent content by jmushi1

  1. jmushi1

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Hizo nyingine porojo. Nakukibu hapo kwenye “current affairs”, unafahamu unachoongea endapo wewe siyo chawa?
  2. jmushi1

    Haya nyie ambao Polepole ndio karata yenu ya mwisho vipi kuna matumaini?

    Wengi humu ndo hao hao. Si unaona swali lake? Anataka tu kujuwa next moves etc.
  3. jmushi1

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Ni chawa tu huyu, don’t play him mind. Kuna ambao ni udini et etc.
  4. jmushi1

    Watu wengi ambao wanawapinga mafasadi ni kwamba hawajapata hiyo nafasi ya kufisadi ila sisi waafrica (Watu weusi) kiasili ni wapigaji na wezi .

    Rais wetu ni Mwarabu, Mzungu, muindi na siyo mwafrika? Sijaelewa point yako hapa…
  5. jmushi1

    Nitafurahi nikisikia bi tukinao kagoma kula ugali. ( code o5 )

    Watanzania ndivyo tulivyo. Hata injinia mwenyewe alitaka abakie hapo hadi atakaposhindwa kula ugali na si vinginevyo. Ila hakuna aliyethubutu hata kujifanya anajikuna… Watu wakaanza maombi kama haya. Ila sidhani kama maombi yale ndo yaliyosababisha akagoma kula ugali. Hata haya maombi yako...
  6. jmushi1

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    You’re The bump 🤦🏾‍♂️
  7. jmushi1

    Mtu kanitumia huu ujumbe; Unadhani mtu huyu kanywa pombe gani?

    Kwanilivyoelewa kidogo… 1. Ugomvi wa Maghufuli na mtu ambaye walikuwa naye Mbezi. 2. Kuna mtu aliyepewa kazi ya kummaliza Magu, lakini hajalipwa mafao yake? 3. Kwamba kuna uhusinao kati ya kifo cha Magu na mzee Kibao? 4. Aliyezungumza kule Chatto kwenye mazishi kumsema Magu kuwa cd4 imeshuka...
  8. jmushi1

    Tofauti ya Samia na Hadija kopa ni ipi?

    Hakuna, Ila mmoja katili sana. Mwingine hajawa na madaraka so hatujui.
  9. jmushi1

    Wakuu, ki-protokali hii imekaaje?

    Halafu mimi siwajui hao watu maana huwa sitaki hata kufuatilia habari za serikali hii huwa zinaniharibia siku, so nachaguwa kufanya mambo mengine. Ila huyo aliyekaa hapo ni nani? Kwa mtizamo tu, ni kama anampa umbea flani. Sasa ukizingatia haya mauwaji na utekaji, halafu ukicheki hilo jamaa...
  10. jmushi1

    Wakuu, ki-protokali hii imekaaje?

    kama hapo ni ikulu, mzee Nyerere angesema “siyo patakatifu” tena😀
  11. jmushi1

    Wakuu, ki-protokali hii imekaaje?

    Mtajuuta kuwafahamu😆🙌🏾
Back
Top Bottom