Watanzania ndivyo tulivyo.
Hata injinia mwenyewe alitaka abakie hapo hadi atakaposhindwa kula ugali na si vinginevyo. Ila hakuna aliyethubutu hata kujifanya anajikuna…
Watu wakaanza maombi kama haya. Ila sidhani kama maombi yale ndo yaliyosababisha akagoma kula ugali.
Hata haya maombi yako...
Kwanilivyoelewa kidogo…
1. Ugomvi wa Maghufuli na mtu ambaye walikuwa naye Mbezi.
2. Kuna mtu aliyepewa kazi ya kummaliza Magu, lakini hajalipwa mafao yake?
3. Kwamba kuna uhusinao kati ya kifo cha Magu na mzee Kibao?
4. Aliyezungumza kule Chatto kwenye mazishi kumsema Magu kuwa cd4 imeshuka...
Halafu mimi siwajui hao watu maana huwa sitaki hata kufuatilia habari za serikali hii huwa zinaniharibia siku, so nachaguwa kufanya mambo mengine.
Ila huyo aliyekaa hapo ni nani? Kwa mtizamo tu, ni kama anampa umbea flani. Sasa ukizingatia haya mauwaji na utekaji, halafu ukicheki hilo jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.