Recent content by jmasuki19

  1. J

    Nachukia umaskini lakini naona kama umri umenitupa mkono siwezi kutoboa

    natamani kusikia zaidi kuhusu zao hili, kama unaweza nipa hint kidogo nitashukuru mno
  2. J

    SoC04 Maono ya kibunifu kuifikia Tanzania tuitakayo

    Ndugu yangu!! Inawezekana ni kama siasa ila mimi nimejaribu kuzungumzia kama hao hao wanasiasa wakiwa commited na kufanya baadhi ya mambo kama inavyohitajika, ni lazima tunaweza kufikia huku. Kwani nchi za wenzetu walianza vipi? kuwa committed na wanachokifanya na kutamani pia kufika mbali
  3. J

    SoC04 Maono ya kibunifu kuifikia Tanzania tuitakayo

    Tanzania ya baadaye inaweza kujenga msingi imara wa maendeleo endelevu kwa kufanya mageuzi ya kina katika maeneo muhimu kama vile elimu, afya, teknolojia, uchumi, mazingira, na miundombinu. Hapa ni maono ya kibunifu kwa kila eneo ambayo yanaweza kutekelezeka ndani ya miaka 5, 10, 15, na 25...
Back
Top Bottom