Recent content by Jmandrea1974

  1. J

    JamiiForums Tanzania Mazingira ni maalumu kwetu tunaomba yapewe uwakilishi kwa kipekee Bungeni

    Kilimo, Ufugaji na Uvuvi ni sekta muhimu sana Kwa ustawi wa viumbe hai wa Leo na Kesho. Kilimo, Ufugaji, na Uvuvi haviwezi kuleta tija kama Mazingira hayatunzwi na kuhifadhiwa vizuri. Mfano: Tunahitaji mvua Kwaajili ya kupata maji lkn hatuwezi kupata mvua salama Kwa wakati sahihi bila kuwa na...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Tunaomba uwakilishi maalumu wa mazingira bungeni kwasababu mazingira ni maalumu kwetu na kwavizazi vijavyo

    Lengo letu ni kuwashirikisha watu wengi kama sio wote kwenye majimbo yote. Ili waweze kupewa elimu kuhusu umuhimu wa kutunza na kuhifadhi Mazingira Kwa muda mfupi. Tena tutaweza kuwashirikisha watu wengi kupanda miti na kuigeuza Nchi yetu kuwa ya kijani jambo ambalo litasaidia upatikaji wa mvua...
Back
Top Bottom