Recent content by JLN

  1. J

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Vipimo vya DNA vinapatikana ofis ya MKEMIA MKUU WA SERIKALI yenye ofis zake Dsm, Mwnz, Arusha, Mbeya na Mtwara. Gharama kupima sampuli moja ni sawa na Tsh 100,000 hivyo mtapimwa sampuli 3 jumla kwa gharama ya laki 3. Unatakiwa kwenda kwa AFISA USTAWI WA JAMII wilaya unapoishi au upite kwa...
  2. J

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Hapana, hakuna jambo kama hilo; kumbuka watumishi wa ofis ya mkemia mkuu wamefundwa kwa maadili ya utumish wa umma na wameapa kutoa huduma ktk ubora mkubwa na kwa kuzingatia sheria husika; kufanya hayo unayosema wew ni kosa kubwa kimaadili na adhabu yake yaweza kuwa kuachishwa kazi, sasa kwa nn...
  3. J

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    KUPIMA DNA. Kwa tanzania sheria ya DNA za binadam inasimamiwa na ofis ya MKEMIA MKUU WA SERIKALI. Majibu yanayopatikana maabara ya mkemia mkuu wa serikali ndio yanayokubalika kisheria; hivyo unapaswa kufika ofis za mkemia mkuu wa serikal(dsm, mwanza, mbeya, arusha na mtwara) ili kupewa ushaur na...
  4. J

    Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

    Tmajuto nashukur kwa maelezo mazur, kibali cha uhamisho kilitolewa na katibu mkuu utumishi, ngoja nisubir miez michache iliyosalia ili kumaliza mwaka kwa mwajir mpya nisubiri kuona kitatokea nn, naamin nitaendelea tuu hapa kwan kaz nazimudu na mwenendo wang uko vzr hivyo naamin hakuna ground ya...
  5. J

    Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

    Kimsing tayar nilkuw nimekaa kazin kwa mwaka na miez mitano lakin mpaka wakat huo bado barua za uthibitisho zilkuw bado hazijatolewa na mpaka wakat huo hakukuwa na maelezo au barua yoyote inayopinga kuthibitishwa kwang. Baaday uhamisho ulifata taratbu zote za utumishi na barua nilyopewa toka...
  6. J

    Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

    Bado naendelea kusubiri maneno mazur ya weny uelewa wa mambo hayo!
  7. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Mwihadisa; km hutajali naomba unisaidie namna ya kuku PM, sjui nafanyaje ili kupata maqasliano yako!
  8. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Bado nasubir ufafanuz mzr toka kwa wataalam wa utumishi na utawala; nisaidien ili nijue nin cha kufanya mapema!
  9. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Barua yng ilinukuuvifungu Na.(8)(3)(f) vya sheria ya utumish wa umma sura 298 kmilvyorekebishwa na sheria Na.18 ya mwaka 2007 ikisomwa kwa pamoja na kanuni Na.107(1) ya kanuni za utumish wa umma 2003, aya Na.13(k) ya taratibu za Uendeshaji utumish wa umma za mwaka 2003 na Kanuni D.55 ya kanuni...
  10. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Mzee wa ngada. Hiv utaratibu mwajir mpya ananirudisha menejiment ya utumish wa umma au ananirudisha moja kwa moja kwa mwajir wang wa zaman? Je hakuna uwezekano kwa menejment ya utumishi kunihamia taasis nyingne inayohitaji watu wenye taaluma au ujuz wang?
  11. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Mtu mmoja aliniambia kuw ktk secondment ikifika kipind flan natakiwa nimweleze mwajir mpya kuw niko tayar kuendelea naye au narud nilkotoka; pia aliniambia miez 12 ikipita bila taarifa yoyote toka kwa mwajir wa zaman au mwajir mpya basi itakuwa nimehamishwa permanently kwenye taasis hyo. Swali...
  12. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Kimsing binafs sifikirii kurud kule nilkotoka na pia mwajiri wa awali hafikirii kunitaka nirud kwake tena; wasiwasi wang ilkuw ni juu ya hiyo barua ya kuthibitishwa kazin; naamin hapa nilpo kazi nazimudu vzr na mwenendo wang uko vzr hvyo sitegemei wanirudishe ati kwa kudai nimeshindwa kaz au...
  13. J

    Ushauri juu ya kanuni za utumishi

    Mim ni mwajiriwa wa halmashaur moja, baada ya kufanya kaz kwa muda wa mwaka 1 na miez 5 nilipata uhamisho kwa SECONDMENT kuhamia taasisi nyingine ya serikali inayojitegemea, kipindi nahama toka mwajiri wa awali nilkuwa bado sijapata barua ya kuthibitishwa kazini lakini uhamisho wang huu wa...
  14. J

    Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

    Wadau naomba ushaur wenu ili kujua utaratibu wa kuhama kwa secondment kabla ya kupata barua ya kuthibitishwa: 1. Mwajiriwa anaruhusiwa kuhama kwa secondment hata kama atakuwa hajapata barua ya kuthibitishwa kazin na mwajir wake wa awali? 2. Km inaruhusiwa kuhama, vp barua ya kuthibitishwa...
  15. J

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Ni kwel kabisa huduma za kupima DNA ziko kisheria na kwa sasa taasis inayohusika ni Mkemia Mkuu wa Serkali kituo chake cha dsm; ktk case km hyo lazima DNA za mtoto, mama na baba zipimwe na kila DNA inalipiwa 100,000 hvyo jumla ya gharama itakuw lak tatu lakin kabla ya kwenda mkemia lazima uende...
Back
Top Bottom