Tatizo lako unafuata utaratibu usio sahihi, sasa serekali ya mtaa na Aridhi wapi na wapi!? Huko serekali ya mtaa ndiyo kumejaa matapeli wa viwanja, tumia Mwanasheria anaejua fani yake ipasavyo!!
Haa wapi hakuna kitu kama hicho, hata Mwendokasi ulivyo aanza tukajua sasa wamiliki na madereva wa daladala watakufa njaa,sasa hivi watu wanaogopa Mwendokasi kama ukoma wote wamerudi kwa daladala kama kawa!!
Nilikua na rafiki yangu wa kizungu akaniambia eti na sisi watu weusi tunafana sana hadi wanashindwa kututofautisha, akanipa mfano eti mimi nafanana sana na 50cent,nilishangaa sana kama kweli nina sura ngumu kama ya yule jamaa![emoji23][emoji23]
Kiuno cha kushikwa hivyo kwanza unacho!? Usije kua na kiuno kama sanamu la Michelin hadi mikono yenyewe kukutana inakua shida!!? Just joking karibu nikushike mwaya pressure yako ishuke kidogo ufurahie maisha!!
Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake achaa zarau kijana, nyinyi ndiyo mnazarau hadi wafanyakazi wa ndani hadi wanawalisha vichafu bila kujua kwa sababu ya mazarau yenu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.