Recent content by J'jay

  1. J

    Jamani naomba msaada kuhusu abilite testing interview ya CRDB

    ingia google type the words uptitude questions & answers then fanya hayo maswali.ol da bst
  2. J

    Tra

    Ndo ivo mkuu,uchakachuzi lazima.cha kufanya ni kusahau kuhusu hilo la tra ili mambo mengine yaende. Hakuna aliye zaliwa ili aje afanye kazi tra ni fursa zinajitokeza mtu anabahatika kupata nafasi na wengine ndo wanaforce kwa kujuana au kutoa chochote kitu.kikubwa ni kupeana updates za opp mpya...
  3. J

    Tra

    Jaman jamaa wamemaliza kuita, mbona mnakuwa wabishi kuamini.Kuna mtu juzi j4 alienda kuwauliza akapewa hilo jibu.WE ARE DONE WITH THE EXERCISE OF CALLING SUCCESSFUL APPLICANTS. and 91 APPLICANTS HAVE BEEN CONTACTED. Ila mtu akitwa ni kwamba imetokea bahati tu lable kuna kapost kalikuwa vacant na...
  4. J

    Tra

    Kwa upande wangu sina tarifa kuhusu hilo kwani hata hao walioitwa barua zao hazionyeshi training itaisha lini.ila from past exprience kwa mfano wa mwaka jana walikaa 2 months.
  5. J

    Tra

    Habar zenu wadau wa tra.Jana kuna mtu alienda kuliza kama wamemaliza kuita, akambiwa kuwa wamemaliza na wameita watu 91 kwa ass tax ofcrs Kuna jamaa anafanya kazi pale nilimuliza kuhusu hii ishu akasema kuna baadhi ya vitengo vinaweza vikawa vinahitaji watu kwa hio usishangae ukisikia fulani...
  6. J

    Tra wanapiga simu za kuita watu kazini

    Habar zenu wadau wa tra.Jana kuna mtu alienda kuliza kama wamemaliza kuita, akambiwa kuwa wamemaliza na wameita watu 91 kwa ass tax ofcrs Kuna jamaa anafanya kazi pale nilimuliza kuhusu hii ishu akasema kuna baadhi ya vitengo vinaweza vikawa vinahitaji watu kwa hio usishangae ukisikia fulani...
  7. J

    Tra wanapiga simu za kuita watu kazini

    Aje aje pale?jaman leo hakuna aliepigiwa cm au ndo kushneh!
  8. J

    Tra

    Ebana um a new member in the forum,hop ya'ol welcome me! Kuhusu tra nackia kuna second batch, sa sijui ndo hio waloanza kuita jana ama vp.
Back
Top Bottom