Ukiacha chuo utafurahishwa na mtaa. Mtaa hauna rafiki wala haujali una hakili, passion, elimu wala kujiamini. Mtaa unakunyoosha hadi muda ukitaka kufa ndo zali linajitokeza kkusaidia.
Mtaani maisha ni magumu. Maisha huku hayana formula wala hayana rafiki wala hayapewi lushwa ya boom lako ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.