Recent content by jindundu

  1. J

    JamiiForums Tanzania Uvamizi JF una uhusiano na Press ya Rostam Aziz?

    Jana majira ya mchana ziliibuka habari za kuvamiwa kwa Ofisi za JF Mikocheni. Inasemekana wavamizi walikuwa wanamtafuta Ndg Melo. Usiku wa Jana hiyo hiyo Mfanyabiashara mashuhuri Rostam Aziz alionekana akitolea maelezo baadhi ya mambo anayotajwa kuhusika nayo kwenye biashara zake na pia kundi...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Haya nyie ambao Polepole ndio karata yenu ya mwisho vipi kuna matumaini?

    Haya wewe unaaminije kama yanayosemwa na Mange si ya kweli? Tupe majibu usiishie kuita watu wajinga
  3. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Kama unaona hajui, usiishie kumuulizq na kupayuka kama kasuku mweleweshe unapoona haelewi!
  4. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Sasa kwa Mwandishi Mkongwe na ambaye tuna Dhani ni mweredi, kwa nini hakumhoji Rostam au kum Challenge katika maelezo yake kama wanavyofanya waandishi wengine tena wachanga kama akina Chief Odemba na Aloyce Nyanda?? Kwa Nini Todo alikuwa kama vile kilainishi katika maelezo ya Rostam?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Bado siku Moja tu kutimia kwa Septemba 7. Tunakusubiri kwa hamu!
  6. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Hakuna alichojibu
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    Hizi ni kejeli, unafiki. I know how to read between the lines. Hunisumbui
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    Magufuli kaingiaje kwenye hii hoja? Punguzeni mihemko? Facts zipi ulizotoa? Unadhani kusema Magufuli aliua inapunguza nini kwenye current issues ?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Kweli hakipo!
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    A Seminarian cannot behave like a chicken!
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Dharau, kiburi, majivuno, ulaghai. Tutafika tu!
  12. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    Hayo yametoka wapi kwenye hoja ya msingi? Lissu yuko gerezani, kesi yake iko Mahakamani. Unataka wananchi wafanyeje? Waende kuvamia gereza wamtoe kwa nguvu? Wavamie Mahakamani wamatoe kwa nguvu? Kelele za wananchi kuhusu kesi ya Lissu huzisikii? Unataka wafanyeje zaidi ya hapo? Hizi kauli zako...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    Tuendelee kupiga usingizi mnono mchana huku tukiota ndoto. Tusubiri jua lichomoze asubuhi!
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam amejitoa ufahamu kutetea "mtandao" waziwazi sasa?

    Siku utakapojua ukweli utaona aibu
  15. J

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Usipojibu tuhuma zinazokuchafua mbele ya jamii, huo ni ujanja kumbe? Haya sawa, nimekuelewa!
Back
Top Bottom