Mkuu ilikuwa ni aibu, wananch tulipoona jwtz wanavamia ile kambi tunashangilia, mara kidogo wale wajeda wakala kichapo,kdogo wakaanza kutimua mbio kwny mashamba ya mahindi, wametuaibisha xn hawa wazee wa vifaru..
nkataman kwenda kuwasaidia bt kuona ffu wameizunguka kambi yao namie nkalala mbele...
Nikiw safarin toka dom 2 mosh, nimefka arusha ile road ya ktoka mianzin kuja stand kuu, nimekta zomeazomea ya mandamano ya ccm mpk aibu, yan njia nzima wanazomewa,nkawa nawaza ni kosa gn mmewafanyia hawa wananchi? kwel arusha kboko,nlikuw nawasikia tu leo nmeona kduchu!
kama haya ni kwel bas wanaccm wa songea ni zaid ya vilaza, yakowapi majb ya matatz ya wanasongea, taifa linakabiliw na deni furushi,ipo wap soln? et wazir wa fedha...
mmendekeza siasa hata matatz ya wananch mmetuachia
J4 mjusi ni jambaz maruf arusha,akiwa wa na mtot wake abdul wameua sn,wakenda court wanashnda coz wat hawatoi ushahd kuhofia maisha yao! huyo mjuc kuktoa roho wala hawaz x2, vyombo vya sheria vchukue mkondo hlo jambaz likamatwe!
watu mnaongea ka mzaha bt huyu mjuc ni hatari na ndg zake wamemtenga!
Kwa navojua siasa za arusha,polic wanatakiw kuwa makini sn,na wasiwe bias vngnevo machafuko yatatamalaki,yeyot akikanyaga katba sheria ichukue mkondo bila kujali ni magamba ama gwanda!
tatz lako siasa imewatawala, ni siasa ipi lema kaileta? lema ndo anawanyanyasa bodaboda? lema ndo trafc? kila jema linalofanywa na wapnzan kwenu ni baya, unadhan bila lema kn dc angewatuliza? mumshukuru lema kwa kuwastiri kwa hlo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.