Recent content by Jhany97

  1. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Hauna jipya ww haukuzaliwa kujua kila kitu, ivi hauna kazi na bando lako au kukaa kucomment ujinga tu kama haujui kitu kaa kimya kuona maoni ya wanaojua.🙏
  2. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Kumbe tiba ya kideli imepatikana dada coca??
  3. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Samahani naomba niambie hiyo dawa ya matone ya kuwawekea machoni ni ipi tofauti na chanjo ili nika nunue niwapatie
  4. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Kivipi ni ndui kaka
  5. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Ukisema ni kideli niwape chanjo mbona ninavoelewa mm kwa uelewa wangu mdogo kuku akiwa na maambukizi hatakiwi kuchanjwa? Dada coca
  6. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Niwape chanjo ya ugonjwa gani?
  7. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Hawa muda wa kuwapa fowlpox vaccine bado mkuu kama unavyoona
  8. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Kiongozi samahani inawezekana vipi hawa vifaranga kupata ndui angali hakuna mkubwa hata mmoja mwenye dalili hizo?
  9. Jhany97

    Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

    Wataalamu naombeni msaada huu ugonjwa naona ni mgeni kwangu vifaranga wanavimba macho na midomo alafu sio kama ile coryza uvimbe wake ni mgumu hautoi chochote ukibinya na sio kwamba hii ni ndui na ni vifaranga wote wa umri huu, msaada please kwa anaeufahamu huenda ni mpya. picha zake hizi👇
Back
Top Bottom