Je, wewe ni mwanamke mrembo na siyo msichana. Umri wako unaanzia Miaka 31+, unatokea familia ya wacha Mungu? Una elimu ya wastani? Unajishughulisha kujiingizia kipato? Upo tayari kuishi nje ya Dar?
Mimi ndiye mume wako nakutafuta.
Sifa zangu ni mwanaume, baba na kiongozi wa familia, ni mrefu...