Recent content by JERUSALEMU

  1. J

    Kukataza biashara 15 zisifanywe na wageni ni kupuyanga na kuwalisha wazawa vibovu

    Kwa akili hiyo wewe hustahili kuwa miongoni mwa great thinkers, lazima utakuwa m CCM wewe!!!!
  2. J

    John Heche: Mwalimu anayestahili kuwa nje ya Ualimu

    Kwahiyo umejiunga leo kuja kutetea chama chako kinacho elekea kuzama?
  3. J

    Sijaona Mtanzania mwenye akili kama Lissu jamaa yupo nondo sana

    Kwanini ukiwa CCM ghafla unakuwa mbumbumbu hivi? Bado mnaamini CCM kinaiwazia Tanzania? CCM ni kakikundi ka watu wachache sana wanaongozwa na kikwete na mtoto wa Samia.
  4. J

    Tanzania hatuongozwi na hatuwajibiki kwa Bunge la Ulaya. Tutalinda uhuru na heshima yetu kwa nguvu zetu zote

    Zero brain....! Nini kinakusumbua? Huna kazi? My friend Dunia inatunzs haya maupumbavu yako, Iko siku utajuta. Hawa wanao faidika na CCM yao hawajawahi kuwa wajinga hivi. Kifupi, wewe umepoteza NETWORK.
  5. J

    Kwanini Chadema wanaamini wazungu kwenye harakati zao za kisiasa?

    Hangaika uwezavyo ,lakini Wazungu hawajawahi kushindwa kitu. Take it from me Tanzania tupende tusipende lazima TUNDU Lissu aachiwe na turekebishe SHERIA za uchaguzi ili CHADEMA ishiriki. Vinginevyo kilio hakiko mbali.
  6. J

    Wazalendo ndani ya vyombo vya usalama simamemi sasa na nchi!!

    Wewe bwege wa Kizanzibar, nenda katili. Wenye akili wote hatuendi. Period.
  7. J

    Kutenda haki kwa Mahakama: Ni kuifumua Mahakama Kuu na mahakaka za chini na kuweka utaratibu usio mhusisha Rais kabisa katika kuwasaili/kuwaajili.

    You must be silly! If this pleases you then your parents should count they bore a zero brained hog.
  8. J

    Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya Mke wa Mdude

    Hizi Mahakama za Tanzania hazisitahili kuitwa MAHAKAMA, Bali ziitwe matawi ya kisheria ya CCM au wenye fedha. Siwezi kupotezwa muda wangu kupeleke kesi yoyote kwenye Mahakama ya Tanzania ....! Never.
  9. J

    CCM na jeshi la Polisi wamejizatiti kukabiliana na mabadiliko wakidhani sisi tunafanana na Wakenya niwaambie tu kuwa mabadiliko yanakuja

    Umetumwa na CCM bila shaka!! Haki haiombwi , hudaiwa Kwa nguvu tena bila kuchoka. Sasa walitaka kujua kuwa wao ni wajinga wafanye uchaguzi bila CHADEMA, watajuta kuzaliwa
  10. J

    Kama ilivyo dini Dola haiwezi kufa na itaendelea kuenenda kama Dola

    Huyu mleta mada ni mbumbumbu ! Hajui Kuna Dola kubwa kama ya Mali ilikufa? Roman empire ilikufa na hata Dola, serikali ya Hitler ilikufa na kusambaratika kama kioo Cha mbele Cha gari baada ya kugongana uso Kwa uso na train? Hii ya Samia tukikaza Buti kidogo tu Chali.
  11. J

    Balile alalamikia Kipanya kuwalinganisha media na Toilet paper

    Kwahiyo unataka kusema Toilet paper inastahili kuheshimiwa kuliko Vyombo vya habari vya Tanzania??? Daah umewachana vibaya sana.
  12. J

    Kwanini Wasomi wakiwa CCM hawaonyeshi Usomi wao tofauti na wanapokuwa Chadema?

    Vion Viongozi wakuu wa serikali na CCM Huwa hawapendi kuona mtu anakuwa popular kuliko wao....! Kwahiyo inabidi kama unajipenda uishi katika low profile. Nitakupa mifano michache. Unamfahamu Dorothy GWAJIMA wa enzi za Magufuli na Dorothy huyu wa sasa? Wako tofauti sana. Angeendelea kufanya...
  13. J

    Hatua za CCM zasababisha kudhoofika kwa vyombo vikuu vya habari? (Mainstream Media)

    Binafsi nina miaka mingi sijawahi ku tune TBC AU ITV. Sababu ya uchawa wao. Rafiki yangu mkubwa ni Jamiiforums na baadhi ya online TVs.
  14. J

    Askofu Bagonza: Kutoka kikombe cha Babu hadi Mafuta ya Upako

    Wajinga wacha wajae Kwa Mwamposa watakavyo lakini siku inakuja watalia na kusaga Meno. Kanisa la Karne hii halimtaji Yesu?
Back
Top Bottom