Recent content by Jersey Praygod

  1. J

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Biashara ya mitungi na majiko ya gesi inakufaa.. Sababu: 1. Mitungi haiozi, ukishindwa unaweza kuiuza urudishe pesa kwa hasara ndogo 2. Ipo sustainable, watu lazima wale kila siku, mtu akishanunua mtungi Na jiko anabaki kua mteja kwa sababa lazima aje kujaza gesi inapoisha, then wateja...
  2. J

    Baba hataki nioe mama anataka nioe

    Sio kila wakati kila mtu atakubaliana na mawazo yako. Huwezi kumridhisha kila mmoja. Na swala la mimba kidini sio sahihi kupata kabla ya ndoa,.. ila likitokea huwa linawalazimishaga wengi including wazazi kutokua na maamuzi tofauti nakuoa....out of experience unaweza kufanya vivyo tena Kwa...
Back
Top Bottom