mie nasoma NIT na logistics naisoma na ninekuta hadi mwaka wa tatu wapo wanaosoma logistics so imeanza zamani sema walikuwa wanachukuliwa wachache sana tofauti na siku hizi
hata mwaka jana wakati mimi ninaapply waliokuwa wanatakiwa walikuwa 72 lakini darasani tupo 150 kwa hiyo msiogope huwa wanaangalia vigezo.kwa waliosoma arts uwe na credit pass 3 kwenda juu na waliosoma science uwe na credit pass mbili kwenda juu
uhusiano uliopo kati ya procurement and supply management ni kwamba ndani ya logistics & transport management tunasoma hiyo procurement &supply chain management kwa ufupi tu sio kama wanaosomea procurement as professionals. so tunaigusagusa kwa sababu kuna vitu vinashabihiana
mwenye combination yoyote anaruhusiwa kusoma.hesabu zake sio ngumu ni statistics na quantitative methods.so ni hesabu za kawaida na haijalishi combination
ni kozi nzuri sana na mimi ninasoma hiyo kozi nimemaliza mwaka wa kwanza nasubiri kuingia wa pili.ajira zake zipo sehemu nyingi sana na ni mult-purpose.ukipata kazi utaitwa logistics manager au transport manager na ajira zake ni sehemu zote zinazohusisha transport kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.